Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ninachoomba tu baadae msikimbie jukwaa ili mje mtupongeze kisport.

14720473_652155594944801_8881613978282445510_n.jpg
 
herrera Leo kwa nguvu kabisa nitakua online kuwakilisha hapa. Nataka ni chaji simu vzr na niweke power bank full.

Leo hatumwi mtu sokoni..

Karibu sn Mou darajani
hahahaaaa mkuu Ntuzu leo umeonekana? welcome back ila nasikitika kwamba unarudi na mkosi,spesheli wani hatawaacha leo kwa mlichokua mmefanyia
 
Tutajie vikosi vitakavyoanza leo jaman...naombea rooney aanze leo upande wa man utd [emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahaaaa mkuu Ntuzu leo umeonekana? welcome back ila nasikitika kwamba unarudi na mkosi,spesheli wani hatawaacha leo kwa mlichokua mmefanyia
Wanaelewa hawa unafikiri hawajui? Ukikutana na mtu wako wa zamani hufanyii makosa....... lazima ajute kwamba kwanini alikumwaga...... twende kazi Mou[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] ....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kombe leo litaendelea kupakwa rangi ya Bluu. Pole zangu za dhati in advance kwa wapenzi na mashabiki wa Man U.

Lazima leo muishi kama mashetani 🙂
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ni sawa na mashabiki wa celtic kuwa upande wa rangers
Wakati wamekuja Emirates nyote ukiwemo we na RRONDO mliwapa support thou Iliback fire vya Hatari

Leo niko nao!!!

maana mlishangilia Sare ya Jana kama Tumefungwa!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hahahaaaa mkuu Ntuzu leo umeonekana? welcome back ila nasikitika kwamba unarudi na mkosi,spesheli wani hatawaacha leo kwa mlichokua mmefanyia
Mkuu mi nipo sn tu ila mambo kibao tu.......

Baba Leo hawezi kufanya chochote alibahatisha akiwa na Inter tu lkn kwa ManU mtajuta Leo....[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wanaelewa hawa unafikiri hawajui? Ukikutana na mtu wako wa zamani hufanyii makosa....... lazima ajute kwamba kwanini alikumwaga...... twende kazi Mou[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] ....
Acha hizo weye yani Leo mahaba na Mou na wewe nayaweka pembeni lazima nikugegede ooooops sorry kwa hiyo lugha [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Tupungiane hewani wapendwa wangu wote humu, nawasalimu woteee kwa busu takatifu[emoji8] [emoji8] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji113]. ....
Nimeshapinga na wewe siku mingi sn.....

[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
 
Wakati wamekuja Emirates nyote ukiwemo we na RRONDO mliwapa support thou Iliback fire vya Hatari

Leo niko nao!!!

maana mlishangilia Sare ya Jana kama Tumefungwa!!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahhaaaa kwa hyo upo tayari kuona parade bus hapo hapo london? kuliko kwenda manchester?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom