Mkubwa kala 2-1 mpira badoWakuu vipi matokeo kwa muda huu npo mbali
Mkubwa kala 2-1 mpira bado
Dkk78[emoji23] [emoji23] [emoji23] mabingwa tena imekuwaje?
Wachezaji wote wapoNgoja tuvute subra hazard yumo kweli mkuu?
Mabingwa haimaanishi ndio goli lao la chuma 🙂[emoji23] [emoji23] [emoji23] mabingwa tena imekuwaje?
Mhh Chelsea kufungwa kabisa kabisa? labda lile benchi lisiwemo.Chelsea mmejitahidi maana mlikuwa mna lala hapa