Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Ile performance ya Terry ni funga mwaka teeeeeehe teeeehe poleni sana
Begovic kajitahid sna 7bu tumekoswa nyingi.Kipa kazengua leo!! Hawa walikuwa wamelala!!
tehteh Kaka upooo siku nyingi sijaingia huku hukakatazwa kukosea mtaa tena ila Leo mlicheza bahati mbaya kipa wenu karuka za kuchukuwa Rebound ya basketball! ila tuache utani hivi Agosti8 yupo? naweza kusema utani yupo mahututi na dripu za Chelsea kumbe kweli? mungu amnusuru kama yupo msalimieni.Duh hadi Mikel anavheza vizuri leo. Kwa setting hii hata liverfool wakijitahidi labda draw tu.
Na katika habari nyingine...HAPPY BIRTHDAY THIBAUT COURTOUIS
![]()
Sawa!!! Kachomoa nyingi, lakini mwishoni goli alilofungwa hakustahili kufungwa!!Begovic kajitahid sna 7bu tumekoswa nyingi.
Kwa mimi kipa na 1 ningempa Begovic
Uzembe wa marking ya mabeki...pale kipa hana makosa.Sawa!!! Kachomoa nyingi, lakini mwishoni goli alilofungwa hakustahili kufungwa!!
Sahihi sanaUzembe wa marking ya mabeki...pale kipa hana makosa.
Akitoka Hazard - kwa meci ya jana - yeye ndo anafuata kwa kucheza vizuri.
Uzembe wa marking ya mabeki...pale kipa hana makosa.
Akitoka Hazard - kwa meci ya jana - yeye ndo anafuata kwa kucheza vizuri.