Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

It's you who need to grow up, you juvenile ba....d! Unashinda masaa 24 hapa JF ukiweka posts zako za udaku, mwanaume mtu mzima na heshima zake hawezi kuwa na muda mchafu kama huo. Ukitaka kujua kwamba udaku ni kwa ajili ya wapuuzi kama wewe angalia nani anachangia/anajibu hizo posts zako za kidaku hapa JF, uko peke yako na yule mdaku mwenzio (tikiti maji)....only two people! That explains a lot about you! Get a life, you scumbag!
Kuna sehemu ya kumuweka mtu kama hutaki kuona posts zake sasa kwanini unahangaika na posts zangu?Utu uzima dawa.
 
It's you who need to grow up, you juvenile ba....d! Unashinda masaa 24 hapa JF ukiweka posts zako za udaku, mwanaume mtu mzima na heshima zake hawezi kuwa na muda mchafu kama huo. Ukitaka kujua kwamba udaku ni kwa ajili ya wapuuzi kama wewe angalia nani anachangia/anajibu hizo posts zako za kidaku hapa JF, uko peke yako na yule mdaku mwenzio (tikiti maji)....only two people! That explains a lot about you! Get a life, you scumbag!
Mwana achana na hawa wanakitchen party wambea wambea tu wanahaha kutafuta mabwana hawana lolote hapa.
 
Mwana achana na hawa wanakitchen party wambea wambea tu wanahaha kutafuta mabwana hawana lolote hapa.

Hebu tuonyeshe upi umbeya uliowekwa hapa? Posts zote zipo hapa tangu alifu unless unakimbia kivuli chako. Then twambie nani alikutongoza?
 
Hebu tuonyeshe upi umbeya uliowekwa hapa? Posts zote zipo hapa tangu alifu unless unakimbia kivuli chako. Then twambie nani alikutongoza?
We ndo unazama mzimzima kwenye kumi na nane za mtu mzima.
 
Hili jukwaa limeanza kuwa kimeo, kumejaa mipasho tu utafikiri sio jukwaa la soka
 
Hebu tuonyeshe upi umbeya uliowekwa hapa? Posts zote zipo hapa tangu alifu unless unakimbia kivuli chako. Then twambie nani alikutongoza?

tena wewe ndo choko kabisa.kutwa unaongelea mambo ya CHELSEA..inakuhusu nini
 
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=4JaLYW7KlNo"]YouTube- Goal keeping is all about stoping goals - Petr Čech.mp4[/ame]
 
tena wewe ndo choko kabisa.kutwa unaongelea mambo ya CHELSEA..inakuhusu nini

Kigogo unoge? Za firo? Ulanzi ulipo? Mwambie Invisible akupatie Teachers kutoka India ubadili kidogo ingawaje ni feki.

Mkuu hutaki niongelee ya Chelsick kisa? Si ndio tunasema 'we dare to talk openly? Au unataka tuwasifie tu kila wakati? Well kama sio free for all then to whom? Leo mna mechi mchekeo ya FA tunawatakia heri na baraka tele.

Mkuu burudani hii na michezo mnapopata mkong'oto ndio raha ya opposition na tena vile mkuu huyu hapa chini inavyolizwa ndio raha yenyewe. Enjoy mwaka huu kama kawa unafahamu nani atakuwa bingwa mwezi May wakati tuna--compare notes.


article-0-0156986200000578-622_224x344.jpg

Khe khe khe Abraham o vich analia
kama katoto kalikokosa
lawalawa khe kheeee
 
Hili jukwaa limeanza kuwa kimeo, kumejaa mipasho tu utafikiri sio jukwaa la soka
Mkuu mipasho waliianzisha mapema baada ya kutangaza ubingwa mapema wakasahau kuwa mpira unadunda tangu November walitangaza ubingwa na kuanza kuzipondea timu zingine esp.Arsenal na sasa wanashangaa kuona hao waliokuwa wanawapondea ndo wana asilimia kubwa ya kuchukua ubingwa.
 
Chelsea 1 - 0 Stoke

Chelsick fans ni wageni leo lwenye jukwaa lao wapo 22 duh! Kufungwa kubaya hata mechi yao leo wanaisubiri kwa darubini against Stoke. Jitokezeni bana aibu ... .. khe khe khe kheeeeeeeee.
 
Hivi nisaidieni kulikoni vitambaa vyeusi manake hata mechi za jana nazo niliona hivo hivo
 
Hili jukwaa limeanza kuwa kimeo, kumejaa mipasho tu utafikiri sio jukwaa la soka
Yaani taabu tupu ndugu yangu, ile maana nzima ya majadiriano ya soka inapotezwa kabisa na hawa wadaku kutoka Arsenal. Sijui kwanini hawapost huu udaku kule kwenye jukwaa lao?!! Sisi watu wa Chelsea tunachotaka ni maongezi ya soka tu, nothing else!
 
Hivi nisaidieni kulikoni vitambaa vyeusi manake hata mechi za jana nazo niliona hivo hivo

kuna kocha mmoja wa ligi1 au 2 sina uhakika,anaitwa KEITH ALEXANDER kafariki, alikuwa mchezaji maarufu,anatokea somewhere carribean.
 
Yaani taabu tupu ndugu yangu, ile maana nzima ya majadiriano ya soka inapotezwa kabisa na hawa wadaku kutoka Arsenal. Sijui kwanini hawapost huu udaku kule kwenye jukwaa lao?!! Sisi watu wa Chelsea tunachotaka ni maongezi ya soka tu, nothing else!

Tabu ni ya mashabiki wa mafioso team wakishinda ndio kama hivi ..... tarumbeta zote zinawashwa na kuchonga sana kwenye majukwaa ya wengine, sasa mambo junguluka kama huwezi kukubali ukweli kwamba wachezaji wenu wana matatizo ambayo ni part and parcel ya Chelsick team mnajidanganya na hatuwezi kuwasaidia hapo.

Naona leo mmefufuka baada kipigo cha uhakika kutoka kwa Man City na Inter, angalau matanga hayakuwa marefu, hongereni kwa ushindi wa Stoke. Story za Umafia unaofanywa na wachezaji wa Chelsick zitakaa kwenye Chelsick team na kuwajuza mamillioni ya wadau wanaofuatilia hii timu ya mafioso. Mnapochangia sio tu nyinyi mnaoandika wako maelfu wanaosoma na wanahitaji kufahamu nini kinajiri sio kuficha uozo na uvundo ulioko darajani. Hivi sasa sioni hata kama kuna mchezaji yoyote wa Chelsick ambaye ni role model kwa vijana wetu, you've got a mountain to climb.

JF motto 'Where we dare talk openly'.

 
Wanasema mti ukipinda basi kivuli hakiwezi kunyooka...
So kama nahodha wenu ana sifa ya ukahaba, je hao anaowangoza wakoje?
Naomba jibu muwe mmelitafakari...na si kukurupuka tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom