Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nonda niaje Mkuu.

Uko pouwa kaka? Nimekutumia PM kibao tu naona haujibu.... Au hutaki buguza???

PSG anapigika kesho bila wasiwasi wote ule
Inawezekana PM zako zimenaswa na "wamiliki". Mimi kwangu haijafika hata moja. Jaribu tena. Au unamtumia member ingine? Au unatumia ID tofauti?
 
Mimi pia natabasamu na kucheka. Nasubiri mtanange wa kesho. Leo Mr. Bean anatembelea "shimo"Hull akitafuta ubingwa wake. Je ataepuka handaki na kutumbukia shimoni?
 
Mimi pia natabasamu na kucheka. Nasubiri mtanange wa kesho. Leo Mr. Bean anatembelea "shimo"Hull akitafuta ubingwa wake. Je ataepuka handaki na kutumbukia shimoni?

Hongera naona leo Arsenal mmeshinda ushindi wa kishindo, mmewatumia Barcelona salamu.
 
Nimebahatika kuangalia mechi ya Roma na Madrid leo. Mohamed Salah amecheza vizuri sana ile wing ya kulia....ameniboa sana kwenye umaliziaji.

Mwanzoni nilianza kuwaza kuwa angeweza kuwa bora kuliko Willian ila chances alizokosa nikaishia kukubali tu aliuzwa for good. All those dribbles for nothing!!!!
 
Hongera naona leo Arsenal mmeshinda ushindi wa kishindo, mmewatumia Barcelona salamu.
Naona dogo umekuwa Arsenal kimya kimya huku unamchora Ntuzu na Mentor kujifanya bado uko Daraja bovu linalokarabatiwa na Guus.
 
Nimebahatika kuangalia mechi ya Roma na Madrid leo. Mohamed Salah amecheza vizuri sana ile wing ya kulia....ameniboa sana kwenye umaliziaji.

Mwanzoni nilianza kuwaza kuwa angeweza kuwa bora kuliko Willian ila chances alizokosa nikaishia kukubali tu aliuzwa for good. All those dribbles for nothing!!!!

hawezi akawa mzuri kuliko willian, uzuri wa wilian anaweza kukaba na anakaba kw juhudi sana" mungu amemjaalia mapafu ya mbwa .......... Salah hawezi kukaba, alivyouzwa mi niliona sawa tu sababu alikua hana ubavu wa kubattle na willian au hazard

Hivi Pedro vipi? akiwepo game la kesho itakua poa sana, au kama hatakwepo ni bora Pato aanzee, au kati kuliko apange Matic+Mikel bora apange Mikel+Kennedy.
 
Naona dogo umekuwa Arsenal kimya kimya huku unamchora Ntuzu na Mentor kujifanya bado uko Daraja bovu linalokarabatiwa na Guus.
Hongera sana bana Nonda" na Arsenal yako mbovu, natumai jmos ndio mnaanza ligi ........
 
Hongera sana bana Nonda" na Arsenal yako mbovu, natumai jmos ndio mnaanza ligi ........
Unataka Mikel na Kennedy?
Kesho Abrahamovic mhuni wa PSG anafungulia na anaachia mbwa kwa Abrahamovic mafiaso wa Kirusi. Najua utafurahi tu kwa sababu umekuwa rafiki na Mr. Bean. Kwa hiyo, unaanza ligi wiki jmos? Hii kusema Yokohama ni mbwembwe zako tu.
 
Nimebahatika kuangalia mechi ya Roma na Madrid leo. Mohamed Salah amecheza vizuri sana ile wing ya kulia....ameniboa sana kwenye umaliziaji.

Mwanzoni nilianza kuwaza kuwa angeweza kuwa bora kuliko Willian ila chances alizokosa nikaishia kukubali tu aliuzwa for good. All those dribbles for nothing!!!!
Kweli, ametupa nafasi za wazi za kufunga zisizopungua 4. Roma wangetangulia kupachika bao la mwanzo, huenda ile mechi ingezidi "ze utamu"
 
hawezi akawa mzuri kuliko willian, uzuri wa wilian anaweza kukaba na anakaba kw juhudi sana" mungu amemjaalia mapafu ya mbwa .......... Salah hawezi kukaba, alivyouzwa mi niliona sawa tu sababu alikua hana ubavu wa kubattle na willian au hazard

Hivi Pedro vipi? akiwepo game la kesho itakua poa sana, au kama hatakwepo ni bora Pato aanzee, au kati kuliko apange Matic+Mikel bora apange Mikel+Kennedy.


Nyuma kushoto acheze Kennedy.

Kati defence Matic na Fabregas.

Kati attacking Willian...Pedro...Hazard!!!
 
Hii ni dalili kwamba umeshakubali kipigo cha kesho. Yule Abrahamovic ni "mhuni" kuliko Costa.
Mmeepuka relegation msimu huu, hali hiyo ni "ubingwa" tosha kwa mabingwa wa msimu uliopita.
mkuu ulipotea sana jukwaa hili nilikuwa nakuona kule "zanzibar election na jukwaa jipya la kilimo na uvuvi.
 
-Walianza Man U makundi
-Sasa hivi ni zamu yetu hatua ya mtoano
Bora na sisi tungetoka makundi tu kama Man U.
 
1457509169922.jpg

Mnyamaaaaa!!!!
 
mkuu ulipotea sana jukwaa hili nilikuwa nakuona kule "zanzibar election na jukwaa jipya la kilimo na uvuvi.
Sikupotea. Ni Ntuzu ndio aliomba time out.
kilimo na uvuvi? Unalima nini wewe? Una boti ya uvuvi?
Kama muumini wa Domo-krasi, nakaripia ubakaji wa ushindi wa UKAWA unaofanywa na fisi-em.
Hili jukwaa limekuwa halina makali, wenyewe wanafurahia kutokushuka daraja. Huwezi amini, miezi michache iliyopita walikuwa "mabingwa watetezi"
Mbwembwe za Kalou, Mentor na Ntuzu zilizoambatana na kejeli na kuita watu majina yamepotea. Vipigo mfululizo vilirejesha heshima.
Guus amefanikiwa kubadilisha mieleka na karate style na unaona kabumbu ya kufurahisha kidogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom