Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

role ya team manager ni ipi mkuu? una ushahid kuwa conte alihusika kwenye match fixing, kuhusu conte chaguo la kwanza, sijui simeone zote ni tetesi tu mkuu, chelsea board ndiyo ina awareness na nani mtu sahihi, sisi mashabiki hatujui kitu
Sasa we unatisha kuwa manager hawezi kuhusika kwenye kupanga matokeo? Chelsea could be taking a big gamble making Antonio Conte their next manager | Daniel Taylor via @Onefootball. Read it here:

Antonio Conte ticks all the boxes but court case could be a distraction for Chelsea | Daniel Taylor
Nimekuwekea link hiyo soma ndio uelewe sasa
 
Hata mimi mkuu namkubali sana huyu jamaa na naona bora Conte kuliko simeone, Simeone naona anacheza defensive football timu yake sio free scoring inastrugle kufunga magoli...bora aje Conte tu na akija tutakuwa na nafasi nzuri ya kumvuta pogba
Simeone anajua kutengeneza morali ya wachezaji naona siku hizi anacheza sana defensive,Wote Conte na Simeone(Vijana) watawafaa
 
Simeone anajua kutengeneza morali ya wachezaji naona siku hizi anacheza sana defensive,Wote Conte na Simeone(Vijana) watawafaa
Yap simeone kwenye suala la morali tu nampa mia kama mou vile, anyway kumekuwa na speculations nyingi sana ngoja tusubiri board itamtangaza nani in the next few days
 
The Blauz ...Mkizubaa vile vishorwe vinavyovaa jezi za Yanga vitawadonoa....
 
"Chelseafc: Chelsea team tonight: Courtois, Azpilicueta, Cahill, Ivanovic (c), Kenedy, Fabregas, Matic, Hazard, Oscar, Traore, Diego Costa. [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]"
 
"Chelseafc: Chelsea subs v Norwich: Begovic, Baba Rahman, Mikel, Loftus-Cheek, Willian, Pato, Remy. [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]"


"Chelseafc: Norwich City team: Ruddy, Bennett, Martin, Klose, Pinto, Tettey, Howson, Brady, Redmond, Hoolahan, Jerome. [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]"


"Chelseafc: Norwich subs: Rudd, Olsson, O’Neil, Mulumbu, Dorrans, Jarvis, Mbokani. [HASHTAG]#CFC[/HASHTAG]"
 
"Chelseafc: Branislav Ivanovic makes his 350th Chelsea appearance tonight, and captains the side. He is the fourth overseas player to reach that figure."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom