Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu jamaa ni kocha mzuri sn Nina mwamini na uwezo wa kujenga timu na kua pamoja hicho ni kitu kibwa anacho. Kwa Chelsea ilivyokua tulikua na hari mbaya sn lkn sasaivi timu imekua pamoja na iko vzr
Yani unamfukuza Mourinho then unampa timu Hiddink ?
 
Ntuzu franco15 et al...

Hiddink hafai kupewa timu. Kama uliangalia game ya jana utaelewa nikisemacho. Kitendo cha kuendelea kuwaweka Matic na Mikel pamoja ndo mimi kigezo kikubwa cha kum disqualify. Mara zote amazowaweka wanashindwa ku perform na bado anaendelea nao.

Ukweli ni kwamba timu ilimsusia Mou so kocha yeyote angekuja angeeza kuifanya kazi maan wachezajicwote ni world class.

Kwa Costa tu ndo namsifu kumbadili kiasi katulia ila hafai kupewa timu...asilani!!!
 
Hiddink toka alipodraw na Watford baaasi nikaona asipewe timu
Na timu yetu hii inajijua yenyewe kifupi inaendeshwa na mood za wachezaji siku wakijisikia wanacheza poa

Mimi kila akiwaweka Matic na Mikel pamoja huwa nakasirika sana...na ndipo nnapojua hafai kuwa kocha wetu wa mda mrefu!
 
Mimi kila akiwaweka Matic na Mikel pamoja huwa nakasirika sana...na ndipo nnapojua hafai kuwa kocha wetu wa mda mrefu!
Labda tuseme ktk mechi ya marudiano na PSG mnapendekeza Matic na Obi wasisimame pamoja?
 
yaani mgonjwa kunywa uji naona mnataka kufanya sherehe.........

We v gone close to 15 games with just one loss. Bado unadiriki kusema mgonjwa kanywa uji???! [HASHTAG]#shtuka[/HASHTAG]
 
We v gone close to 15 games with just one loss. Bado unadiriki kusema mgonjwa kanywa uji???! [HASHTAG]#shtuka[/HASHTAG]
We have only 6 wins out of 18 games and still on top of a team which has lost one game in 15 matches! [HASHTAG]#amazing[/HASHTAG]
 
  • Thanks
Reactions: Lee
1457089833321.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom