ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,491
- 2,477
Goli tamu kama goli la nyeto
Yaani mtafungwa mpaka mtueleze umri sahihi wa bondia diego costa

Goli tamu kama goli la nyeto
Yaani mtafungwa mpaka mtueleze umri sahihi wa bondia diego costa

Ha ha ha! Leo yamekuwa hayo? Wakati majuzi hapa alimwagiwa sifa kedekede!Mikel ameshaonesha weakness...amesahau yupo pale kama defensive midfielder...ila anakimbia kama kafungiwa trailer nyuma.
Soma ubaoNjooni basi angalau mutie nguvu jukwaa lenu! Mpo nyuma goli moja tu. Na kuna dakika 30 za kucheza bado.
Hahahahaha habari yako ni outdated hakuna aliye nyuma kwa goli moja hapaNjooni basi angalau mutie nguvu jukwaa lenu! Mpo nyuma goli moja tu. Na kuna dakika 30 za kucheza bado.
Wakati nabonyeza button ya kusend, Rent Boys ndiyo walikuwa wakisawazisha.Soma ubao
Mbili mbili
Ha ha! Imekufanya uje kwa nguvu zote, eh?!Hahahahaha habari yako ni outdated hakuna aliye nyuma kwa goli moja hapa
Hahahahaha kwa nguvu zote kutoka mafichoniHa ha! Imekufanya uje kwa nguvu zote, eh?!
Mkuu hiyo semi imenifurahisha sana.Fungueni jeneza waungwana marehemu kapigwa chafya.
2-2 ni zaidi come back aseee.