Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Don't worry mentor leo ushindi upo
Hongera kwa "ushindi" wa leo.
Furahi tu, Guus anaisaidia Ze Yokohama isishuke Daraja. Bado Baada ya mpayukaji-domokaya kurudisha funguo za basi kwa mafiaso wa kirusi, timu haijapoteza mchezo. Bado iko nafasi ile ya msimu huu. Wanamieleka wa ze bluuz wameanza kupasha misuli moto.
 
Mbona kimyaaaaa!!!
Enzo alisema basi limewekwa kiberiti, limewaka, leo Ntuzu ilibidi ababe ndoo ya maji ili kuzima moto kunusuru basi hilo lisije bomoa daraja bovu.
Chelsea wanajitahidi lakini timu za shamba zinawaambia msimu huu ni kukimbizana huku 14-17.
Dalili ni kuwa Ze bluuz haitoshuka daraja.
Ntuzu amekwenda na Mou wake? Umemficha? Au yuko bizee?

Van Gaal out?
 
Tukiacha ushabiki hamna namna Chelsea wataingia top 4 huo ndio ukweli, courtois naye sio kipa yani najuta kumuacha cech, yani jamaa anafungwa magoli ya mbali tena ya kishenzi..... Njia pekee ya kucheza uefa msimu ujao ni kushinda uefa tu fullstop... Sijaona sababu ya kumfukuza mou Katikati ya msimu maana tatizo ni wachezaji... Ni ngumu kukubali ila top 4 bye bye
 
3024099E00000578-3398001-image-a-16_1452717646131.jpg


Chris Brunt can only watch on as Cesar Azpilicueta (second left) bundles in the opening goal for Chelsea at Stamford Bridge



3024969500000578-3398001-image-a-59_1452720444645.jpg


Chelsea's players congregate in front of the home support to celebrate their second goal, which initially looked like securing the victory
 
3024915C00000578-3398001-image-a-56_1452720189258.jpg


Boaz Myhill (left) is left tangled on the Stamford Bridge turf after conceding to give Chelsea a 2-1 lead over West Brom on Wednesday


 
Huyu kkipa mipira ya chini inamuelemea...sijui urefu ndo shida!???

_87698067_chelsea_rex.jpg
 
Tukiacha ushabiki hamna namna Chelsea wataingia top 4 huo ndio ukweli, courtois naye sio kipa yani najuta kumuacha cech, yani jamaa anafungwa magoli ya mbali tena ya kishenzi..... Njia pekee ya kucheza uefa msimu ujao ni kushinda uefa tu fullstop... Sijaona sababu ya kumfukuza mou Katikati ya msimu maana tatizo ni wachezaji... Ni ngumu kukubali ila top 4 bye bye
Wewe vipi?
Huu ni msimu wa Ze bluuz kutetea ubingwa wao. Msimu ndio umeanza sasa. Hii ni January. Vipi weweee?. Yokohama nafasi yake ni 1 au 2.
Hakuna kukata tamaa, come on Yoko!
Kuna ile ndugu ya Yaya ilikuwa inasema: Mind the gap!
Wewe hukuona cech pia alivyotunguliwa na majogoo ya Mafyalale kafalale. Kocha wa majogoo alifurahi kama ameshinda mechi.
 
Sasa ni kama wameshamshtukia!!! Inabidi mabeki wafanye kazi ya ziada kumsaidia!
Ombeni Man United mbadilishane, Huyu kipa wenu aende Man United na Yule wa United aje daraja bovu.
 
Sasa ni kama wameshamshtukia!!! Inabidi mabeki wafanye kazi ya ziada kumsaidia!
Kuna magoli mengine anafungwa kwa kukosa umakini ipasavyo. Kuna magoli ambayo hututegemei yy kufungwa ndio anafungwa na magoli yale unayotegemea kipa kufungwa yy ndio hucheza vizuri.
‬ Ila akibadilika ni kipa mmoja mzuri sana.
 
Huyu kkipa mipira ya chini inamuelemea...sijui urefu ndo shida!???

_87698067_chelsea_rex.jpg

ndipo napoanza kummis boda boda .......

sikuona sabab ya kocha kumtoa fab na kumwingiza matic!' mara 10 angetoa oscar aingie cheek.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom