Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Naona wenyewe wameamua kuikimbia thread yao,wameamua kujiita wageni ndani ya nyumba yaoHawa jamaa niliwaambia mimi kwamba wamebakiwa na mechi ngumu sana wakawa wanabisha,naona taratibu wataanza kuamini maneno tuliyowaambia...Poleni sana majirani