Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa jamaa niliwaambia mimi kwamba wamebakiwa na mechi ngumu sana wakawa wanabisha,naona taratibu wataanza kuamini maneno tuliyowaambia...Poleni sana majirani
Naona wenyewe wameamua kuikimbia thread yao,wameamua kujiita wageni ndani ya nyumba yao
 
Manchester City + Bridge =4
Chelsea United + Stamford­ (minus)- Bridge =2 + Reds.

Now rewind the video tape­ & look who offered an extended hand to shake,­ Bridge.
What did that adulterous hypocrite (John­ Terrible) do, look at his guilty eyes couldnt straight­ @ Bridge.
 
Naona wenyewe wameamua kuikimbia thread yao,wameamua kujiita wageni ndani ya nyumba yao

Currently Active Users Viewing This Thread: 18 (9 members and 9 guests)
Balantanda, Arsene Wenger, Belo, Eqlypz, mmbebabox, Ng'wanza Madaso, Roya Roy
Katika hawa guests tisa lazima kuna Masanilo,Mvina,Peasant,Invisible,Ab-Tichaz,ELNINO,Sanda Matuta na wengine wawili nimewasahau...Dah,yaani watu wanakuwa wakimbizi ndabi ya nchi yao,noma kweli.

Bora hata sisi Arsenal hata tukifungwa huwa twaendelea kuvinjari tu jamvini
 
masanilo atleast post comment kwamba hupo mzima wa afya naogopa sana usije ukajiua kwa kunywa pombe kupita kiasi.hiki kipigo simchezo mkuu ,kimetokea darajani.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 18 (9 members and 9 guests)
Balantanda, Arsene Wenger, Belo, Eqlypz, mmbebabox, Ng'wanza Madaso, Roya Roy
Katika hawa guests tisa lazima kuna Masanilo,Mvina,Peasant,Invisible,Ab-Tichaz,ELNINO,Sanda Matuta na wengine wawili nimewasahau...Dah,yaani watu wanakuwa wakimbizi ndabi ya nchi yao,noma kweli.

Bora hata sisi Arsenal hata tukifungwa huwa twaendelea kuvinjari tu jamvini
Hao wawili ulo wasahau ni Manda na DE NOVO
 
Leo ilikuwa ni kilio Darajani. Duh kippigo kinauma mno tena nyumbani. Lakini hakuna cha kutafuta visingizio, tumezidiwa na tujigange kwa mechi zinazokuja.

Kina Abitaz, Masa na Wana Chelsea wengine, tusife moyo!
 
Leo ilikuwa ni kilio Darajani. Duh kippigo kinauma mno tena nyumbani. Lakini hakuna cha kutafuta visingizio, tumezidiwa na tujigange kwa mechi zinazokuja.

Kina Abitaz, Masa na Wana Chelsea wengine, tusife moyo!

Mkuu nakutafuta tangu matanga yalipoanza kule Italy vipi mambo mswano? Nilisema tulipokuwa Italy kwenye ile mechi kwamba matanga yalianza rasmi sasa swala muhimu ni lini yataisha?
 
Hao wawili ulo wasahau ni Manda na DE NOVO

Manda ni Manure na De Novo ni Liverpool...Nawazungumzia mashabiki wa Chelsiki...Nawapongeza sana Pape na Invisible kwa angalau kuonesha ujasiri na kuchangia hapa wakati game ikiendelea
 
Manda ni Manure na De Novo ni Liverpool...Nawazungumzia mashabiki wa Chelsiki...Nawapongeza sana Pape na Invisible kwa angalau kuonesha ujasiri na kuchangia hapa wakati game ikiendelea

Nadhani wengine ni hao waliotoa Senks kwa Mwanzilishi wa Ze Chelsii EFUSII Sredi
 
_47385399_tevez3_getty341.jpg


Tevez is given the responsibility
of converting the spot-kick
and he confidently steers it to Hilario's
right to put City 3-1 up with a quarter of an hour to go


_47385554_bellamy2_pa766.jpg


Goli tamu bwana usiombe Kheee khe kheeeeeeeeeee

13_Carlos_Tevez_sco_995387a.jpg



Chelsick msikonde tupo gado leo hapa masanilo aka Kikojozi sijui kaenda lulojoa wapi leo! Hapakaliki.

JT mtazamaji tu siku hizi

_47385581_terry_pa766.jpg



Captain fantasy khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Leo ilikuwa ni kilio Darajani. Duh kippigo kinauma mno tena nyumbani. Lakini hakuna cha kutafuta visingizio, tumezidiwa na tujigange kwa mechi zinazokuja.

Kina Abitaz, Masa na Wana Chelsea wengine, tusife moyo!
pole sana REV. nashukuru umejitokeza kutoa mawazo yako na kupokea pole.

masanilo yeye anasubiri kati kati ya wiki international break hije kuchanganya habari.

peasant yeye kisngizio alikuwa kwenye game sawa lakini mbona kila siku anakuwa kashatoa commentmpaka sasa hiv? au darajani leo wamefungiwa ndani washabiki?

hakuna kitu kibaya kama kufungwa alafu mechi ya ku-bounce back hipo mbali.uchungu unakaa nao kwa mda mrefu sana kwahio tuone kama masanilo atajificha mpaka march 13.
 
Craig Bellamy takes swipe at Terry after City win

"you guys [the media] make a lot more of it you know,'' Bellamy told Sky Sports 1. ''I know what JT is like and nothing surprises me about it, so I'm not going to comment on that. I think everybody in football knows what the guy is like, but that's off the field.
''On it he's an outstanding player. He's a great captain for Chelsea. It's always going to be difficult when you play him and his team.''

kumbe jamaa (JT) tabia yake inajulikana sio swala la kushangaza kwa wachezaji wenzake.
 
_47385290_008855239-1.jpg

I didn't see that, what was dat?
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
 
Habari zilizotufikia hapa studio ni kwamba Masanilo aka kikojozi na invisible peasant wanasubiri mechi ya Arsenal wanafanya matambiko hivi sasa. Wamejikusanya kwa shekhe yahaya baada ya kupewa mawaidha kutoka Magogoni. Taleban supporter bado anashikiliwa na mungiki brothers.
 
Habari zilizotufikia hapa studio ni kwamba Masanilo aka kikojozi na invisible peasant wanasubiri mechi ya Arsenal wanafanya matambiko hivi sasa. Wamejikusanya kwa shekhe yahaya baada ya kupewa mawaidha kutoka Magogoni. Taleban supporter bado anashikiliwa na mungiki brothers.

Wanaombea kweli tufungwe leo...Tukifungwa tu nao wataanza kuibuka toka chimbo,utawaona tu
 
_47385290_008855239-1.jpg

I didn't see that, what was dat?
khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee
huyu jamaa leo alikuwa mwiba kwa CHL, yaani akishika ngoma tu anageuka kati huyoooo beki wanakimbiza kwa nyuma, yaaaw!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom