Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanaombea kweli tufungwe leo...Tukifungwa tu nao wataanza kuibuka toka chimbo,utawaona tu

Walie tu leo vijana wameonywa vikali kwamba mechi zote zilizobaki lazima wacheze kama Arsenal players siyo vikatuni flani kama vya darajani ambavyo havina hata ustaarabu kazi ni umafia tu. Wizi wa bidhaa madukani, uuzaji wa bangi na unga sasa wamekimbilia kwenda kuiba wake za watu Chelsick sio timu bana Umafia tu kuanzia kwa Abraham o vich mwenyewe..
 
Walie tu leo vijana wameonywa vikali kwamba mechi zote zilizobaki lazima wacheze kama Arsenal players siyo vikatuni flani kama vya darajani ambavyo havina hata ustaarabu kazi ni umafia tu. Wizi wa bidhaa madukani, uuzaji wa bangi na unga sasa wamekimbilia kwenda kuiba wake za watu Chelsick sio timu bana Umafia tu kuanzia kwa Abraham o vich mwenyewe..
unajua nilishangaa Ballack alivyo mrukia Tevez, kha! Nilidhani anacheza karate! shame on him!
 
Leo michuzi amepata cha kuandika katika blog yake, teh teh teh!
 
Bridge agoma kumpa mkono Terry.
[ame="http://www.youtube.com/watch?v=89tGyR5QhLk"]YouTube- John Terry Doesnt Get the handshake off Wayne Bridge[/ame]
 
_47385580_008855442-1.jpg


Losers


_47385621_008855180-1.jpg



Tonic
 
Carlo_Ancelotti_682_995469a.jpg


GLUM ... Ancelotti looks on as his men get a pasting


Acheni lote anaangalia wakati timu yake inabamizwa.
 
Hao wawili ulo wasahau ni Manda na DE NOVO
nashkuru niko kwenye radar hata kama ni ya yule chenge!!! mie ni liverpool damu na leo nimeshngilia chelsea kumbe wapi, ni viazi ya kuchoma tu!!

Poleni arsenal ramsey kaumia sana halafu bado mdogo kwahiyo anahitaji moyo wa steven wanorck, cisse na carragher kwani wamaprove kurudi to the top, Eduardo ameshindwa
 
Leo tumepigwa bao na Tevez kama tuko Mirembe hatujielewi. Hata nywele rojo na binamu wake Anelka hawakufua dafu!
Sijuie Essien yuko wapi au Maluda ndio kalalamika na Essien kawkwa mkeka?

Hilario angekuwa mtaa wa Twiga au Msimbazi, leo angelala Central!

Binafsi ukimuondoa Cech, nafikiri Claudio Cudicini alikuwa bora!
 
Leo tumepigwa bao na Tevez kama tuko Mirembe hatujielewi. Hata nywele rojo na binamu wake Anelka hawakufua dafu!
Sijuie Essien yuko wapi au Maluda ndio kalalamika na Essien kawkwa mkeka?

Hilario angekuwa mtaa wa Twiga au Msimbazi, leo angelala Central!

Binafsi ukimuondoa Cech, nafikiri Claudio Cudicini alikuwa bora!

Essien majeruhi, lakini unafahamu goli la Bellamy jamaa alikimbia kutoka kwenye half yake? defenders walikuwa wapi? Chelsick goi goi pensioners. Leo mmekunywa togwa tu.


BTW mashabiki wote wa Chelsick wanachumgulia tu leo isipoluwa wewe, huenda wewe sio mafioso rasmi.
 
article-0-087E9B0A000005DC-685_468x547.jpg



Wayne Bridge and John Terry went head to head
the loser was .. .. ..



article-0-087E763D000005DC-210_468x365.jpg

Tevez and Terry went head to head
the loser was ... ... .... ....


article-1254367-05066CA0000005DC-961_306x423.jpg

End of the road? 'Depressed Cole
wants to quit' khe khe kheeeeeee
 
Washabiki wa Chelsick sio wote wamechukua indefinite leave kama Tiger Woods hadi matanga yatakapokwisha kwi kwi kwi kwi .......LOL (I mean self imposed ban)
 
Roman-Abramovich-glum_2425028.jpg

And Roman Abramovich clearly isn't impressed
with what he's watching. Khe khe khe kheeeeeeee
 
Jamani hivi Masanilo,Peasant na Mvina ndo kusema wametokomea kabisa ama ndo wameamua kuwa guests wa JF moja kwa moja...Kweli kufungwa(hasa ukiwa na maneno mingi) kubaya sana jamani
 
Jamani hivi Masanilo,Peasant na Mvina ndo kusema wametokomea kabisa ama ndo wameamua kuwa guests wa JF moja kwa moja...Kweli kufungwa(hasa ukiwa na maneno mingi) kubaya sana jamani
Nipo ndugu yangu, yaani kila kitu kimekwenda hovyo jana, tumefungwa na wireless ninayotumia imepotea tangu Ijumaa kwenye maeneo ya nyumbani, nimelazimika kwenda ofisini kwa ajili ya Internet! Anyway, jana tumefungwa kwa sababu ya makosa ya kijinga sana, hakuna wa kumlaumu, hatukucheza vizuri kipindi cha pili. Hilario ni problem, anafungwa magoli ya kizembe sana. Sijui kwanini Ancelotti asimpige bench Terry kwa muda maana naona issue yake ya nje ya uwanja imeanza kumsumbua sana, tangu mechi ya Everton amekuwa mbovu kupita kiasi.
BTW, hongereni kwa kupunguza gap naona sasa ligi inakuwa tamu zaidi. Na poleni sana kwa kumpoteza Ramsey, nilikuwa naangalia huo mpira ndani ya pub kuna dada alitaka kulia, bahati nzuri TV hai-replay events za hivyo siku hizi.
 
Tunawapa Balantanda , Wacha1 na Arsene uanachama wa kudumu wa Chelsea!


Mkuu
Unafikiri washabiki wenzako wa Mafia team aka Chelsick watakubali? Hapa tupo kwenye burudani ukifungwa una leak your wounds ukishinda unasheherekea. Ligi bado ndefu hadi mwezi May ndio tutafahamu hatma ya Premier League lakini kuna wenzetu walianza kudai hili kombe kuanzia November last year.

Tatizo kubwa la EPL hivi sasa ni marefa kuto kutoa uamuzi wa haki wanapochezesha mfano wa jana Arsenal Ramsey alifanyiwa fujo na refa hakutoa kadi kwenye penalty box na ni mchezaji yule yule aliyemvunja mguu, kama angeonywa au kutolewa kwa red card tungekuwa tunaganga mengine, na leo Aston Villa Vidic alitakiwa kupewa red card lakini aliendelea kucheza hadi mwisho.

Hili naliona kama tatizo kubwa sana. Nilikuwa nafikiri limekwisha hasa baada ya wakati ule miaka michache iliyopita wakati Tottenham Hotspurs walinyimwa goli ambalo liliwasaidia Manure kuchukua ubingwa - Umafia umeingia sana kwenye soka how to clean it ndio big question hivi sasa, kwa sababu there is a lot of money in this sport.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom