Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sasa kama amehisi betrayal kwa wachezaji wengi wa kikosi cha kwanza unadhani ingekua rahisi kutenda kama alivyowatendea wengine?

Chelsea walikuwa na wachezaji wengi mno na bado wako wengi wanacheza kwa mkopo timu nyingine,Jose siku zote ukitofautiana naye huwa anakuondoa mapema ,why alizubaa hadi hao waliokuwa wanamsaliti wakawa wengi ?

Jose anaipenda sana Chelsea na alikuwa anapendwa sana na mashabiki na mwenye timu ndio maana amechukua muda mrefu sana hadi akamfukuza,alijisahau sana akasahau kuchukua hatua mapema
 
Exactly haki

BR aliiacha timu nafasi ya ngapi? na morinho kaiacha nafasi ya ngapi?! .............
halafu sioni wachezaji wanahusika vipi wakati walikua wanafuata kile wanachoambiwa na mwalimu"
morihno alichobugi msimu huu na yeye alitaka acheze mpira tofauti na mpira wa msimu uliopita ulikua wa kujihami zaidi.
mchezo aliocheza na spurs ndio utagundua alitumia formular ya msimu uliopita, bora afukuzwe tu mana tumechoka, kama imekuuma mfukuzeni Klopp mumwajiri morinho.
 
BR aliiacha timu nafasi ya ngapi? na morinho kaiacha nafasi ya ngapi?! .............
halafu sioni wachezaji wanahusika vipi wakati walikua wanafuata kile wanachoambiwa na mwalimu"
morihno alichobugi msimu huu na yeye alitaka acheze mpira tofauti na mpira wa msimu uliopita ulikua wa kujihami zaidi.
mchezo aliocheza na spurs ndio utagundua alitumia formular ya msimu uliopita, bora afukuzwe tu mana tumechoka, kama imekuuma mfukuzeni Klopp mumwajiri morinho.

Daah hatari sana punguza hasira ndugu
 
Daah hatari sana punguza hasira ndugu

sio hasira mkuu morinho alishaishiwa, bora aende tu mana tress za kila mwisho wa wiki tulishazichoka. hao wachezaji wanasingiziwa tu!' mana vipigo vilianza tokea pre-season, ..............
kama ni laana ya Dr.Eva tuseme basi aliitoa tokea Pre-season.
 
sio hasira mkuu morinho alishaishiwa, bora aende tu mana tress za kila mwisho wa wiki tulishazichoka. hao wachezaji wanasingiziwa tu!' mana vipigo vilianza tokea pre-season, ..............
kama ni laana ya Dr.Eva tuseme basi aliitoa tokea Pre-season.

Huu msimu in short umeshawaharibikia....Mahesabu ni next season sasa Mission ya kocha wa muda ni kuingia hata Top 10
 
Kwa chelsea sina hamu kabisa kila siku kupigwa tu
 
Angalia masnitch hawa
 

Attachments

  • 1450466524727.jpg
    1450466524727.jpg
    46.8 KB · Views: 148
Chelsea walikuwa na wachezaji wengi mno na bado wako wengi wanacheza kwa mkopo timu nyingine,Jose siku zote ukitofautiana naye huwa anakuondoa mapema ,why alizubaa hadi hao waliokuwa wanamsaliti wakawa wengi ?

Jose anaipenda sana Chelsea na alikuwa anapendwa sana na mashabiki na mwenye timu ndio maana amechukua muda mrefu sana hadi akamfukuza,alijisahau sana akasahau kuchukua hatua mapema

Sasa mkuu mfano hazard, terry, fabr, cahil + other member of cabinet wamemsaliti unadhani kwake ingekua rahisi kuwa fukuzisha au kuwaacha kama ilivyotokea kwa Eva?

Ingawa timu ipo karibu na mwisho sidhani kama kwa muda huu ilikua ni best way kumfukaza Mou this time.
 
article-3365852-2F7C6D4A00000578-227_964x381.jpg


Wacha wafu wazikane wenyewe ..... .... ...
Khe khe khe khe khe khe khe khek he khek hekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
sio hasira mkuu morinho alishaishiwa, bora aende tu mana tress za kila mwisho wa wiki tulishazichoka. hao wachezaji wanasingiziwa tu!' mana vipigo vilianza tokea pre-season, ..............
kama ni laana ya Dr.Eva tuseme basi aliitoa tokea Pre-season.

Mwaka hupi Chelsea illiwahi kufanya vizuri ? Pre season haina kikombe asee hakuna sababu ya kufanya vizuri cha muhimu timu inaandaliwa
 
Huu msimu in short umeshawaharibikia....Mahesabu ni next season sasa Mission ya kocha wa muda ni kuingia hata Top 10

akipatikana kocha wa ukweli hat top4 tunatoboa, wachezaji wapo wenye uwezo sema ndio hivyo morinho alikua hajui kuwatumia, hafundishi mpira yeye anajua mbinu tu za kushinda basiii, mpira waachie bacelona na bayarn ..............
 
BR aliiacha timu nafasi ya ngapi? na morinho kaiacha nafasi ya ngapi?! .............
halafu sioni wachezaji wanahusika vipi wakati walikua wanafuata kile wanachoambiwa na mwalimu"
morihno alichobugi msimu huu na yeye alitaka acheze mpira tofauti na mpira wa msimu uliopita ulikua wa kujihami zaidi.
mchezo aliocheza na spurs ndio utagundua alitumia formular ya msimu uliopita, bora afukuzwe tu mana tumechoka, kama imekuuma mfukuzeni Klopp mumwajiri morinho.

Ya BR yalishapita mkuu 7 not ishu ... 16 it just bad frankly.

Kama wanafata maelezo vizuri kwanini uefa wa-perform well huku EPL wavurunde?

Teeeehe teeeehe Klopp is the kop,
Hatuhitaji manager mwingine
 
Ya BR yalishapita mkuu 7 not ishu ... 16 it just bad frankly.

Kama wanafata maelezo vizuri kwanini uefa wa-perform well huku EPL wavurunde?

Teeeehe teeeehe Klopp is the kop,
Hatuhitaji manager mwingine

hicho ndicho hata mimi najiuliza, kama ni kweli walikua wanamkomoa sa kwa nini washinde game za UEFA si wangemkomoa kabisa kote, ndio tunarudi pale pale uwezo wa kocha UEFA group lilikua rahisi, EPL ngumuu ............
uwezo wa Klopp wa liva sio sawa na ule wa Dortmund umeshukaa. ila sijui ni mapema sana kujudge.
 
hicho ndicho hata mimi najiuliza, kama ni kweli walikua wanamkomoa sa kwa nini washinde game za UEFA si wangemkomoa kabisa kote, ndio tunarudi pale pale uwezo wa kocha UEFA group lilikua rahisi, EPL ngumuu ............
uwezo wa Klopp wa liva sio sawa na ule wa Dortmund umeshukaa. ila sijui ni mapema sana kujudge.

Ya BR yalishapita mkuu 7 not ishu ... 16 it just bad frankly.

Kama wanafata maelezo vizuri kwanini uefa wa-perform well huku EPL wavurunde?

Teeeehe teeeehe Klopp is the kop,
Hatuhitaji manager mwingine

Ata UEFA hawakufanya vzr..... Kote wamecheza hovyo tu. Ni game moja tu ya Fc Porto ya Darajani ndio waliyocheza kidogo vzr. Lkn game zote walicheza hovyo.
 
Ata UEFA hawakufanya vzr..... Kote wamecheza hovyo tu. Ni game moja tu ya Fc Porto ya Darajani ndio waliyocheza kidogo vzr. Lkn game zote walicheza hovyo.

Leo Sabato kalale unafanya nini hapa??....
 
[video]http://www.bing.com/videos/search?q=hello+adele&view=deta il&mid=D039537D8BE47E718764D0 3 9537D8BE47E718764&FORM=VIRE1[/video]

Poleni wakuu msikilizeni Adele chacha maji mwagika.... ..... ....
 
[video]http://www.bing.com/videos/search?q=Adele+Songs+of+All&vi ew=detail&&mid=72F8BEDAF42ADC7 E5CE272F8BEDAF42ADC7E5CE2[/video]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom