Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ni kweli Mkuu ata mimi ilinipa ujasili tena wa kua nguvu ya kuwafunga Leicester city lkn matokeo yake tumekua tunacheza vzr lkn kufunga ni butu.....

Hapa ndiyo muda mwingine naamini soka lina bahati nasibu ..... Kuna kitu kina-miss nasubiri wiki kadhaa mbele tuanze kusikia nani mbaya wa nani
 
mi naona inawezekana sana, hizo game nne kupata point kw timu zilizopo juu yetu inawezekana sana, kuna timu nyingi sana zilizopo juu yetu ni point zetu mojawapo ni manure, ndio mana nikasema akija kocha makini, wachezaji wapo inawezekana .............
Kuwa na ndoto ni kitu kizuri.
Wachezaji wakiacha ubishoo uwanjani mtamaliza ligi kwenye nafasi ya 6-8.

Ule u-star umewavimbisha vichwa. wanacheza mpira kama vichaa tu. wanaonekana kukimbia kimbia tu na kujiangusha angusha kama wana ugonjwa wa kifafa.
 
Mkuu umeitwa na comment zako za Kejeli lakini naona unanitupia mimi!! Hahahaaaaa!! MOURINHO one of the best coach on Earth
Nani ameniita??? Mtu mmoja tu wa jukwaa hili alipokuwa na mood nzuri ndio alikuwa ananiita hapa , leo baada ya kupata mooo mood ya kuunga unga ameomba mapumziko ya dharura(time out).

Wewe ukiita comment za kejeli nnachoandika mimi, niseme tu kuwa una haki ya kupima mawazo ya wengine. Mimi sijazoea "zidumu fikra za mwenyekiti"

Soma comment za Enzo baada ya Domokaya kuoneshwa mlango wa kutokea Daraja bovu, Pia soma comment za Root juu ya Mpayukaji. Kama ukweli kwako ni kejeli , je zikiandikwa kejeli, utasema watu wanaandika matusi au wanakutukana?

Ukweli na uwazi utakuweka huru.. unaikumbuka kauli mbiu ya JF?

Nikumbushe nimeisahau!
 
Ukweli na uwazi utakuweka huru.. unaikumbuka kauli mbiu ya JF?

Nikumbushe nimeisahau![/QUOTE]

Ngoja nimsaidie mkuu... Where we Dare to Talk Openly
 
wakumuita "Nonda" mbona sioni comment zake za kejeli au sababu tupo position ya 16????
Mou na mastaa wake ndio wamewafikisha hiyo position ya 16 sio Nonda. Kama ume-miss comments za Nonda kuwa mkweli tu na kiri hivyo.

Sijafunga mkataba na yeyote wa kuandika comments kwenye jukwaa hili. Naamua tu, ninapojisikia kuandika.

Una hamu ya kujipandisha hasira?

Nini maoni yako juu ya Moureen kufungishwa virago na Mafiaso wa kirusi?

Umefurahi kama Mentor na Ntuzu au umeumia kama Enzo, Root, Kalou na Rev. Kishoka?
 
Mou na mastaa wake ndio wamewafikisha hiyo position ya 16 sio Nonda. Kama ume-miss comments za Nonda kuwa mkweli tu na kiri hivyo.

Sijafunga mkataba na yeyote wa kuandika comments kwenye jukwaa hili. Naamua tu, ninapojisikia kuandika.

Una hamu ya kujipandisha hasira?

Nini maoni yako juu ya Moureen kufungishwa virago na Mafiaso wa kirusi?

Umefurahi kama Mentor na Ntuzu au umeumia kama Enzo, Root, Kalou na Rev. Kishoka?

me nimechukulia poa tu coz alileta "internal conflict".
 
me nimechukulia poa tu coz alileta "internal conflict".
Weka nyama kidogo. Alileta internal conflict ipi/ zipi? Alifanya nini?

Kwa hiyo unaunga mkono uamuzi wa Mmiliki wa Chelsea, Abrahamovich na bodi ya kuajiri na kufukuza makocha ya Chelsea?
 
Teeehe teeehe naona unaitafuta battle kwa lazima
bato ya nini sasa mkuu na wewe upo nafasi ya tisa ........ Klopp ataishia kufukuzwa, ni maoni yangu lakini.

Akija kweli ENZO atamkumbuka Mou

sisapoti kabisa kuja hicho kibabu" kama wakifanya hivyo Abromo atakua amebugi atakua ameondoa afadhali ameleta potelea mbali ...............
 
Last edited by a moderator:
Kuwa na ndoto ni kitu kizuri.
Wachezaji wakiacha ubishoo uwanjani mtamaliza ligi kwenye nafasi ya 6-8.

Ule u-star umewavimbisha vichwa. wanacheza mpira kama vichaa tu. wanaonekana kukimbia kimbia tu na kujiangusha angusha kama wana ugonjwa wa kifafa.

we timu yako itamaliza nafasi ya ngapi?! ...........mwana chelsea mwenzangu.
 
Chelsea appoint Guus Hiddink. He failed
to qualify for the Euro's with Netherlands
and Turkey, and failed at Anzhi with all
their money.

Tehee tehee teheeee teheeeeeeee
 
"You let us down" and "You let Jose down"
banners set to be displayed before kick-
off by fans at Stamford Bridge today.
 
Ndo ishakuwa confirmed hivyo kubalini matokeo may be atawaprove wrong........

dah!' majanga, anaweza akatushusha daraja huyu mzee, kama ni hivi kulikua hamna hata haja y kumfukuza morihno ............... bora wangemchukua hata maximo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom