the say
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,774
- 3,369
Nimepokea hizi taarifa kwa uchungu mkubwa sn hasa ukinzingatia hii wiki tumempoteza mwenzetu Dotto Mnzava......
Kila mmoja najua atasema lake kadri awezavyo..... Lkn ukweli utabaki kua Mourinho ni kocha bora na kwa Chelsea hakuna kocha atakaekuja kufikia record yake.
Sababu iliyomfanya Jos? kufukuzwa ni kuinusuru timu kwani ata km angebaki kua pale bado wachezaji wangemuangusha tu hasa kutokana wao kuamua kwa makusudi kumuangusha kocha wao. Sasa timu inapofika ktk wakati huu ni bora kumpumzisha kocha ili kuleta kocha mwingine ili kuleta maelewano kati ya wachezaji na kocha na kupelekea timu kufanya vzr. Ni mshukuru sn Mourinho na kumpongeza ktk hilo alikua akijaribu kujenga mahusiano mazuri pamoja na hujuma za wazi zilizokuwa zikiendelea.
Mourinho kafukuzwa sio km yeye ni kocha mbaya.... Kafukuzwa kwasababu mahusiano yake na wachezaji yamekua mabaya na kamwe yasingeweza kua mazuri hasa kutokana na hujuma kupenyeza kutoka FA, Media. Waamuzi na wadau wa mpira wa wa England kuhakikisha kua hafanikiwi ktk wakati huu.
Kocha yoyote atakaekuja hatoweza kuinusuru hii timu kwa wakati huu..... Ila Jos? km angepewa nafasi hadi January basi angeinusuru hii timu.
Aleyn na Kituko nimeona michango yenu.....nyie mnatambua mpira na hali halisi ya makocha na wachezaji na soka kwa ujumla. Hoja zenu zina mashiko sn.
ENZO sijaona point yoyote nzito ktk hoja yako. Nachoweza kusema ni kwamba umetoa dukuduku lako.
Mwisho nakushukuru sn everlenk kwa kuniita. Mimi nipo na daima nitabaki kua Chelsea fans mpk kufa. Na Mourinho popote pale alipo nami nipo. Mourinho will simply remain the best.....
Jingine EPL inakwenda kupoteza mvuto, ushindani na mashabiki hasa kutokana na hamasa za Mourinho kukosekana ktk hiyo ligi. Sioni hamasa na mvuto na ushindani kwa Wenger, Pellegrine, LvG au Klopp.
#KTBFFH.......
#holler.
Sure is simply the best,
Last edited by a moderator: