Katika soka kuna wachezaji ktk timu ambao ni ngumu kuwabadilisha kwa pamoja, na hii hususani kwa walio ndani ya Kikosi cha kwanza (First Eleven). Wakiwa hata watatu tuu wakawa ni wahujumu basi kocha lazima apagawe, na kumbuka bora uwapange hao ili walau wataweza kucheza huku wakijifichaficha kwamba wasionekane wanahujumu club, ukiwapa vijana wengine ndo waraboronga zaidi pia itajengeka picha kwamba kocha ana bifu na wachezaji.Hivi kwa nini Mou hakuwaamini wachezaji wengine hasa vijana badala yake wale waliomsaliti na akawafahamu ndo hao hao walikuwa na uhakika wa namba kwake!