everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,037
Nimekusikia my dear nalog off.....
Usiku mwema my....
Nawe pia wangu kipenzi....
Nimekusikia my dear nalog off.....
Usiku mwema my....
Chelsea walikuwa na wachezaji wengi mno na bado wako wengi wanacheza kwa mkopo timu nyingine,Jose siku zote ukitofautiana naye huwa anakuondoa mapema ,why alizubaa hadi hao waliokuwa wanamsaliti wakawa wengi ?
Jose anaipenda sana Chelsea na alikuwa anapendwa sana na mashabiki na mwenye timu ndio maana amechukua muda mrefu sana hadi akamfukuza,alijisahau sana akasahau kuchukua hatua mapema
Naunga mkono hoja.
Umeniita au unaniulizia tu?wakumuita "Nonda" mbona sioni comment zake za kejeli au sababu tupo position ya 16????
Soma hapa. Je hiyo ni kejei? link https://www.jamiiforums.com/sports/20023-the-chelsea-fc-thread-1530.html#post14893490wakumuita "Nonda" mbona sioni comment zake za kejeli au sababu tupo position ya 16????
akipatikana kocha wa ukweli hat top4 tunatoboa, wachezaji wapo wenye uwezo sema ndio hivyo morinho alikua hajui kuwatumia, hafundishi mpira yeye anajua mbinu tu za kushinda basiii, mpira waachie bacelona na bayarn ..............
Acha mahaba bana, kwa alipo Chelsea saizi ata team apewe sir Alex hawezi ifikisha top 4, yani hadi inatoka huko iliko hadi inafika top4 hizo team zilizopo juu zinafanya nini???? Kwa maoni yangu, kocha mzuri anaweza kuipeleka Chelsea top 8
Mathematical it is possible. ..inawezekana sanaa wala hata sio mahaba, ili kumfikia manure pale alipo inahitajika game 4 tu za kushinda na yeye apoteze 4, game nne chache sana na zimebaki game nyingi sanaa ndio hivyo nakwambia akija kocha mwenye akili inawezekana mana wachezaji wapo wazurii ................
Ata UEFA hawakufanya vzr..... Kote wamecheza hovyo tu. Ni game moja tu ya Fc Porto ya Darajani ndio waliyocheza kidogo vzr. Lkn game zote walicheza hovyo.
Umeniita au unaniulizia tu?
Ni nani huyo mwenye comment za kejeli? Kalou , CleverKing au mleta katuni?
The best coach in the universe has been axed by Ze Russian mafiaso. Malizia kwa kusoma post ya Rev. Kishoka.
Mkuu umeitwa na comment zako za Kejeli lakini naona unanitupia mimi!! Hahahaaaaa!! MOURINHO one of the best coach on Earth
Mathematical it is possible. ..
Je kiuhalisia inaweza ikawa rahisi kama unavyodhani........?
kafanya Uholanzi isifuzi mashindano ya Bara la Ulaya. chelsea ataweza kweli huyu
ngoja tuone atafanya nini asije kimbia tenaHahaaa alikimbia aibu akamuachia Blind jumba bovu
hicho ndicho hata mimi najiuliza, kama ni kweli walikua wanamkomoa sa kwa nini washinde game za UEFA si wangemkomoa kabisa kote, ndio tunarudi pale pale uwezo wa kocha UEFA group lilikua rahisi, EPL ngumuu ............
uwezo wa Klopp wa liva sio sawa na ule wa Dortmund umeshukaa. ila sijui ni mapema sana kujudge.
Ata UEFA hawakufanya vzr..... Kote wamecheza hovyo tu. Ni game moja tu ya Fc Porto ya Darajani ndio waliyocheza kidogo vzr[color]. Lkn game zote walicheza hovyo.
Hii hasa ndiyo ilinishtua nakumbuka hata humu niliwasifia for that come back
sawa hawakuchaza fresh kivileee, kwa nini kama ni makusudi wasinge jiweka wa mwisho kwenye group.