Akija Mou kwenye moja ya team zangu nahama siku iyo hiyo. Mou hafundishi mpira anafundisha wachezaji kuwa wahuni uwanjani na boring football. Mimi ni mpenzi wa total football, sipendi kabisa aina ya mtindo wa Mourinho.Shabiki usiyekuwa na team maalum naona una sherehe kubwa mno! Kumbe ulikuwa unamuhofia sama Mourinho eeeh!? Weka akiba ya maneno huenda Mou akatua kwenye moja ya team zako.
Mou anapoenda popote anaharibu mpira. anashinda vikombe at the expense of utamu, chenga twawala na flamboyance. Je ni kosa kushabikia a cluster of teams? Usiweke mayai yote kwenye kikapu kimoja. Hiyo nayo ni falsafa ya upenzi wa soka, usilazimishe unazi. Haya mfuate Mou huko aendako.
Mfalme... sio mimi niliyemfukuza Mou ni Abrahamovich yule mafiaso wa kirusi..mimi sicheki wala sifurahi, nakenua tu kwa mshangao.