Mhusika ni wewe au Invisikujinyonga?Haraka ya nini sasa? Tulia uandike vizuri utawahi tu.
Nimeona hesabu zako ambazo umezitengeneza kutokea kwenye jawabu na ukajitengenezeq swali, najua unajua soka, najua unamjua Mourinho, najua unaijua Chelsea, najua unawajua wachezajimwa Chelsea
kikubwa zaidi najua unajua kilichokuwa kinaendelea pale Darajani na hakina kabisa uhusiano na ufundishajinwa Mou
Sidhani kama wewe kweli ni mtu wa Chelsea, Uongozi umeamua hivyo kwa sababu zao wanazozijua, lakini kwa mtu wa Chelsea na mfatiliaji mzuri utaona bila kificho ni nini kilichokuwa kinaendelea pale Darajani, Chelsea chini ya Mou haiwezi kamwe kufungwa zaidi ya mechi nne nyumbani kwa msimu mmoja,
Kwa mpenzi mzuri wa mpira hata kama uko team nyingine huwezi kufurahia Jinsi wachezaji wa Chelsea walivyokuwa wanafanya, unaweza kufurahia na kuwakejeli Team inayofungwa kama kweli wamezidiwa uwezo na mbinu za kimchezo, lakini sio team inayoamua kujifungisha na kucheza chini ya kiwango
Mou Kaondoka sisi tutabaki, lakini nimesikitishwa sana na fitna zilizokuwa zinafanywa wazi kabisa na wachezaji wetu, ni fitna za kiswahili kabisa, imagine team inashambulia adui na adui yuko ndani ya peessure kubwa, adui anabahatika kubutua mpira mpaka katikati ya kiwanja na kuwakuta wachezaji wenu watatu na adui mmoja, mchezaji wenu baada ya kurudisha mpira kwenye team iliyo under pressure anaamua kwa maksudi kabisa kurudisha mpira kwa kipa wake ili adui apate relief,
Kwa taarifa yako tu wengine ni wafuatiliaji wazuri sana wa team yetu pendwa na tatizo tangu mwanzo tuliliona na Mou alikuwa analijua
Again mpaka sasa sipati picha inakuwaje Pro wakubwa kabisa wanakubali kujidharirisha kwa kiasi kile?
CC: Ntuzu, Mentor, everlink, peterchoka, kalou, Rondo, Wacha1
mi naona hapa kama tunatofautiana, mi naona ufundishaji wake, mana mi alianza kuniboa tokea game la stoke city game la Capital one, stoke city walikua pungufu kwa red card eti badala ya kucheza mpira wa kushambulia eti ndio kwanza wanaforce game liishe droo wakati penalt hainaga mwenyewe, uwe pungufu dhidi ya man city au baca utajutaa .........
kwanza timu ilikua inacheza haishambulii, wachezaji hawawezi kupiga penetration pass, wao ni V pass, wanapasiana mabeki kwa mabeki theni wanamrudshia kipa abutue mbele. sasa vile walivyokua wanacheza si ndio kocha kawafundisha hivyo.
Angalia kocha kama Gudiola anavyofundisha, mchezaji anapewa mpira, halafu anakua na option kama ya wachezaji watano hivi ya kuwapasia mipira, kwa wachezaji wa chelsea option ni kumrudishia kipa!, aondoke tuuu!
Mhusika ni wewe au Invisikujinyonga?
Kwa nini umebana tusinukuu?
Kwa sababu Mourinho kaondoka. Chelsea ishuke tu daraja sasa, hamna jinsi!
Utakuwa haupo serious mkuu, timu hiyo hiyo ndo iliyochukua ubingwa last season tena tukaongeza jembe kama pedro, jaribu kukumbuka matokeo mabovu yalianza kipindi gani, Mou kafanikiwa kuchukua vikombe kadhaa kwa muda mchache aliokuwepo darajani kipindi hiko akiwa na mahusiano mazuri na wachezaji, timu ingekua mbovu hata sweet 16 tusingefika
Utakuwa haupo serious mkuu, timu hiyo hiyo ndo iliyochukua ubingwa last season tena tukaongeza jembe kama pedro, jaribu kukumbuka matokeo mabovu yalianza kipindi gani, Mou kafanikiwa kuchukua vikombe kadhaa kwa muda mchache aliokuwepo darajani kipindi hiko akiwa na mahusiano mazuri na wachezaji, timu ingekua mbovu hata sweet 16 tusingefika