Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Baada ya international break, sasa business as usual.........
 
Chelsea msimu huu ni sawa na gari la mkaa trip moja porini ikirudi gereji juu ya mawe wiki mbili...
 
At least mtakaa two weeks bila kipigo....Mwaka huu relegation battle ni ngumu sana! Ntuzu bado una ndoto za ubingwa?!! Mentor umekuwa mpole sana mkuu.

Ila mechi yenu vs stoke city namlaumu sana Remy,ameleta ushujaa usio na msingi. Alitakiwa aanguke yeye anajidai kukomaa, na refa hakuwa fair ile ni penati kabisa. Remy kamruka kipa akijisalimisha aisiume na kitendo hicho kikampotezea balance na akashindwa kufunga,ni penati.
Kwahiyo walikuwa wanatafuta sare wakiwa nyumbani..hahahaaaaaaaaaa
 
Ntuzu nakutakia mafanikio mema ya ushindi
 

Attachments

  • 1448047542474.jpg
    1448047542474.jpg
    33.4 KB · Views: 361
Last edited by a moderator:
FT. Chelsea 1 Norwich 0.
Huyu beki wwnu ambaye BBC walikuwa wanamfananisha na Marseily Desaily mbona hana tofauti na Kolo Toure? Zouma kwa kweli bado anacheza akiwa na hofu. Kinachombeba huyu bwana ni kwa kuwa ivanovic na Terry viwango vyao vimeshuka. Anatumia manguvy kuliko akili.

Hongereni kwa ushindi.
Cc: Ntuzu, Mento @
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom