Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijui atauzwa!
 

Attachments

  • 1448179849675.jpg
    1448179849675.jpg
    27.4 KB · Views: 110
Asanteni wote wadau mliopita kutupa hongera ya ushindi......

Thx na pamoja sn.
 
Asanteni wote wadau mliopita kutupa hongera ya ushindi......

Thx na pamoja sn.
Bandugu

Mshukuruni Magufuli ametembelea hospitali na kumwona mgonjwa Chelsea na kuamuru awekewe "drip".

Sasa wiki ya kesho , tutasikia mashine ya kutengeneza "drip" imeharibika tena. sijui itakuwaje.
 
Bandugu

Mshukuruni Magufuli ametembelea hospitali na kumwona mgonjwa Chelsea na kuamuru awekewe "drip".

Sasa wiki ya kesho , tutasikia mashine ya kutengeneza "drip" imeharibika tena. sijui itakuwaje.

Uko pouwa lkn kamanda Nonda?

Aiseee mi Niko Nonda..... Wiki ijayo tutafanya vzr sn tu.
 
Last edited by a moderator:
Uko pouwa lkn kamanda Nonda?

Aiseee mi Niko Nonda..... Wiki ijayo tutafanya vzr sn tu.
Utakuwa umesoma matokeo ya mpinzani wako wa wiki kesho.
[h=2]Tottenham 4 - 1 West Ham[/h]Wiki ya kesho wamesema wanataka 5. Mimi nimeanza ku-draft kadi za mkono wa pole na kutafuta maneno muafaka ya kuwafariji Yokohama. Teh tehh. 😛oa
 
Utakuwa umesoma matokeo ya mpinzani wako wa wiki kesho.
[h=2]Tottenham 4 - 1 West Ham[/h]Wiki ya kesho wamesema wanataka 5. Mimi nimeanza ku-draft kadi za mkono wa pole na kutafuta maneno muafaka ya kuwafariji Yokohama. Teh tehh. 😛oa

Aisee hao spurs hawana chao kabisa hiyo tarehe 29.... Naenda kuwapiga hapo hapo kwao.
 
Aisee hao spurs hawana chao kabisa hiyo tarehe 29.... Naenda kuwapiga hapo hapo kwao.

Natamani sana muwapige kwasababu wanatishia usalama wetu hapo top four! Ila sioni uwezekano wa nyinyi kuwapiga hao jamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom