Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

chealsea tumeanza ligi walioshika nafasi zetu wajiandae nafikiri mpaka january kuna watu watakimbia hili jukwaa
 
Mwanakwetu mie nipo. ila tumepigwa mpaka nimepoteza mwelekeo!! Ingawa hivyo sijakata tamaa ya walau 4 bora. in fact nahisi FA Cup litakuwa letu mwaka huu na huenda champions league tukafika mbali manake ndo viable options tulizonazo now that tunaanza kurudi mchezoni na hang over na utoto vinaisha

Aiseeeee!!!!! Kama Mnaweza kuichukia hivi timu yenu si mchezo siku 6 hakuna aliyeingia??????? Mmelisusa jukwaaa hivi ????? Duhhh Uzi uwe closed tu hamna namna nyingine,wapi wanazi wa Chelsea Ntuzu Mentor and kalou?????? Wapi Manumbu mzee wa news na picha Chelsea???? Poleni sana haya ni mapito tu sote tulipitia kikombe hiki kichungu.........nimepitia kuwapa hi ndugu zangu.....
 
Hao vibonde mliwaokota..... Hizo nazo ni timu?
Ntuzu , nasikia mmecheza na timu inaitwa Makapi?

Ikoje? Ni kama mrenda? Au nayo ni vibonde?

Drip aliyowekewa Yokohama inafanya kazi?

Mimi nasubiria matokeo ya Jumamosi ndio nione kama mgonjwa amechukuliwa vipimo na mashine za Magufuli.
 
Mwanakwetu mie nipo. ila tumepigwa mpaka nimepoteza mwelekeo!! Ingawa hivyo sijakata tamaa ya walau 4 bora. in fact nahisi FA Cup litakuwa letu mwaka huu na huenda champions league tukafika mbali manake ndo viable options tulizonazo now that tunaanza kurudi mchezoni na hang over na utoto vinaisha

Nafurahi sana kwa kuitia wito mwanakwetu, kwanza kabisa niwape pongez sana kwa kumchapa Tele mvivu, pongezi hizi ziende pia kwa wanachelsea wote na wapenzi marafiki Ntuzu kalou utafufuka tu....lol Mentor Anza kuleta katuni, Root njoo tu mzee wa ukweli na uwazi ENZO mutoto ya maneno makali makali.
 
Last edited by a moderator:
Nafurahi sana kwa kuitia wito mwanakwetu, kwanza kabisa niwape pongez sana kwa kumchapa Tele mvivu, pongezi hizi ziende pia kwa wanachelsea wote na wapenzi marafiki Ntuzu kalou utafufuka tu....lol Mentor Anza kuleta katuni, Root njoo tu mzee wa ukweli na uwazi ENZO mutoto ya maneno makali makali.

Asante sn my everlenk huyo Root huyoooo anabahati tu mkorintho mwenzangu
 
Last edited by a moderator:
Nafurahi sana kwa kuitia wito mwanakwetu, kwanza kabisa niwape pongez sana kwa kumchapa Tele mvivu, pongezi hizi ziende pia kwa wanachelsea wote na wapenzi marafiki Ntuzu kalou utafufuka tu....lol Mentor Anza kuleta katuni, Root njoo tu mzee wa ukweli na uwazi ENZO mutoto ya maneno makali makali.

asante mdada! ushindi ni kawaida yetu' na sisi badae tutakuja kutoa pole kule kwenu kw vibabu .............
 
Last edited by a moderator:
asante mdada! ushindi ni kawaida yetu' na sisi badae tutakuja kutoa pole kule kwenu kw vibabu .............
Wewe dogo una kipaji cha usanii. Anzisha "comedy group" utengeneze utajiri.
 
Bado tu but naona hali inatengamaa kidogo.

Vijana wanaanza kupasha moto timu kila uchwao.

Second season syndrome imetuaffect sana.

But

We'll be back(in shoziniga'voice)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom