Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

enhanced-24286-1442578623-1.png
 
Na hapa kwetu magurudumu ya YOKOHAMA yamepigwa marufuku kwenye magari, ni mikokoteni tu ndio ina ruksa ya kutumia yokohama
 
Wakati huo huo - Lile Jembe letu la kimataifa linaendelea vizuri kwa matibabu baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti - linategemewa kurudi Golini mwezi December katikati.

Pona haraka
Thibaut-Courtois-Main.jpg
 
Wana Chelsea msiwe na hofu kabisa, hii league ni bado sana, soon watakuwa kimya
 
Pamoja na wakati mgumu tulio nao, bado tuna future. Timu yetu ni nzuri na kwa jinsi walivyocheza na Stoke, timu imebadilika sana. bila shaka tutaanza kupata ushindi kuanzia mechi ijayo. COme mwaka mpya tutakuwa tunajicheka kwa kuwa kwenye position isiyo yetu!
Chelsea kweli imebadilika sana, imetoka kufungwa magoli 3 katika mechi sasa inafungwa goli 1 tu. Hongereni ni Mabadiliko mazuri yanaridhisha
 
like gundu limeshakata rasmi, eva kashaolewa
 

Attachments

  • 1447311427817.jpg
    1447311427817.jpg
    55 KB · Views: 128
Aiseeeee!!!!! Kama Mnaweza kuichukia hivi timu yenu si mchezo siku 6 hakuna aliyeingia??????? Mmelisusa jukwaaa hivi ????? Duhhh Uzi uwe closed tu hamna namna nyingine,wapi wanazi wa Chelsea Ntuzu Mentor and kalou?????? Wapi Manumbu mzee wa news na picha Chelsea???? Poleni sana haya ni mapito tu sote tulipitia kikombe hiki kichungu.........nimepitia kuwapa hi ndugu zangu.....
 
Last edited by a moderator:
Aiseeeee!!!!! Kama Mnaweza kuichukia hivi timu yenu si mchezo siku 6 hakuna aliyeingia??????? Mmelisusa jukwaaa hivi ????? Duhhh Uzi uwe closed tu hamna namna nyingine,wapi wanazi wa Chelsea Ntuzu Mentor and kalou?????? Wapi Manumbu mzee wa news na picha Chelsea???? Poleni sana haya ni mapito tu sote tulipitia kikombe hiki kichungu.........nimepitia kuwapa hi ndugu zangu.....

Unajua na wewe unapotea vibaya sn..... Unapotea kila sehemu mpk pale kwenye miadi yetu hufiki kabisa.

Tatizo nini? Au mcharo wako Mentor kakuzibiti?

Mi nanuna sikusemeshi tena
 
Last edited by a moderator:
Aiseeeee!!!!! Kama Mnaweza kuichukia hivi timu yenu si mchezo siku 6 hakuna aliyeingia??????? Mmelisusa jukwaaa hivi ????? Duhhh Uzi uwe closed tu hamna namna nyingine,wapi wanazi wa Chelsea Ntuzu Mentor and kalou?????? Wapi Manumbu mzee wa news na picha Chelsea???? Poleni sana haya ni mapito tu sote tulipitia kikombe hiki kichungu.........nimepitia kuwapa hi ndugu zangu.....

Najua utasema nasingizia ila niko bize balaa...nashukuru sana inanisaidia kupunguza mawazo.
 
Last edited by a moderator:
Unajua na wewe unapotea vibaya sn..... Unapotea kila sehemu mpk pale kwenye miadi yetu hufiki kabisa.

Tatizo nini? Au mcharo wako Mentor kakuzibiti?

Mi nanuna sikusemeshi tena

Hahhahahaha!!! Usinune bana mambo mengi tu ndo yamenisonga nitarudi pale muda si mrefu, mimi ndo kuku wa Mcharo hawezi nishikia manati bana!!!!
 
Last edited by a moderator:
Najua utasema nasingizia ila niko bize balaa...nashukuru sana inanisaidia kupunguza mawazo.

Haya Mcharo wangu ubize ndo neema hizo,au ndo ulikuwa kwenye michakato ya kugombea uspika kama mimi....lol......naona Afande wetu Magufuli amekushika pabaya. .....teh teh teh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom