Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea inatafunwa na Laana ya Dada Dokta.....Mwambieni Morinyo akaombe radhi kabla ya timu kushuka daraja maana nafasi ya 16 sasa hakuna namna.
 
Chelsea inatafunwa na Laana ya Dada Dokta.....Mwambieni Morinyo akaombe radhi kabla ya timu kushuka daraja maana nafasi ya 16 sasa hakuna namna.

Laana kwani amekua Mama yake Jos??
 
Shida sio Mourinho. Tumebadili style of play and ts becoming a bit tough to adapt. Ila we will get there.

January kuna haja kubwa ya kufanya signing za maana za central defender...left back defender...na striker.

to be honesty licha ya haya yote yanayotokea bado naamini moureen ndio kocha sahihi wa chelsea. sijajua tatzo nn kwa chelsea saiz maana kwa game ya Jana wachezaji walijituma sana kila mtu alionesha hali ya kutaka matokeo ila bahati haikuwa kwao, kwamba kuna mgomo baridi wa wachezaji pia siamini labda fabregas, ukiniambia laana ya Dr Eva (mmmhhhhh) mbona hata pre season hamkushinda?

kwa upande wangu makocha ambao wanaweza kuiongoza chelsea ni kloop ( tayari yupo liva) simeon ( kasaini mkataba mpya atletico nafikiri itakuwa ghali sana Ku terminate mkataba wake) na mou mwenyewe,

poleni sana aisee ni mapito tu, bora sisi tunacheza mpira m-bovu ila tunapata matokeo.
 
Chelsea inatafunwa na Laana ya Dada Dokta.....Mwambieni Morinyo akaombe radhi kabla ya timu kushuka daraja maana nafasi ya 16 sasa hakuna namna.

🎧🎤🎶chelsea yetu wenyewe, tumeipenda wenyewe, chaguo letu milele🎧🎤🎶 wacha tushuke daraja wee🎧🎧👆🏿👆🏿😂😂😂😂😂😂
Chelsea ni ile ile ohh 🎼 ni ile ileeee🎶🎶🎶🎶🎼🎼🎼 Na Mourinho ni yule yule oh ni Yule yuleee 🎼 mashabiki tumejipanga mwaka huu tutaisomaaa🎶🎶🎶🎶🎼🎼🎼😂😂😂😂 😂😂😂😂
 
chelsea mtafungwa mpaka mtakapotupatia majibu kuhusu diego costa
1)ana miaka mingapi
2)kipaji chake ni ngumi au mpira

Hapa kazi tu
Costa ni muhuni tu.

Mechi yao na Liverpool alimlima daluga Skrtel. Mwamuzi hakuliona tukio hilo na FA wamemfumbia macho.

Jana Mechi na Stoke dakika ya 04:32 Costa anafanya uhuni tena. Mwamuzi hakuliona tukio hilo. Pia amefanya hii
Diego Costa is unlikely to face further action following a touchline incident which led to a Stoke City steward alleging he had been assaulted.
The complaint was made after the Chelsea striker, 27, appeared to make contact with the steward's foot while retrieving the ball for a throw-in.

BBC Sport - Diego Costa: Chelsea striker steward complaint resolved
 
to be honesty licha ya haya yote yanayotokea bado naamini moureen ndio kocha sahihi wa chelsea. sijajua tatzo nn kwa chelsea saiz maana kwa game ya Jana wachezaji walijituma sana kila mtu alionesha hali ya kutaka matokeo ila bahati haikuwa kwao, kwamba kuna mgomo baridi wa wachezaji pia siamini labda fabregas, ukiniambia laana ya Dr Eva (mmmhhhhh) mbona hata pre season hamkushinda?

kwa upande wangu makocha ambao wanaweza kuiongoza chelsea ni kloop ( tayari yupo liva) simeon ( kasaini mkataba mpya atletico nafikiri itakuwa ghali sana Ku terminate mkataba wake) na mou mwenyewe,

poleni sana aisee ni mapito tu, bora sisi tunacheza mpira m-bovu ila tunapata matokeo.

Kwa sasa Mourinho sio kocha anayefaa Chelsea nafikiri huko nyuma alishaleta mafanikio makubwa sidhani kama ana jipya.Huko nyuma Chelsea ilikuwa kibonde Morinho akaja kuipandisha status kwa kuchukua makombe mfululizo na kuipandisha status tatizo Mourinho ni kocha wa muda mfupi (ikifika msimu wa tatu huwa anachemsha) mmiliki wa timu kwa sasa anataka stability ya timu kwa muda mrefu ndio maana baada ya kuchukua ubingwa alimuongezea mkataba mrefu Mourinho na Mourinho kila siku anatamba Roman hawezi kumfukuza
 
mashabiki wa asenal mdio wanaoongoza kumchukia mourinyo wakifuatiwa na wa man u lakini nawaambia hizo chuki zenu haziwezi kubadilisha kipigo tutakachowapa tukikutana lazma mpigwe tu maana hakuna namna nyingine
 
mashabiki wa asenal mdio wanaoongoza kumchukia mourinyo wakifuatiwa na wa man u lakini nawaambia hizo chuki zenu haziwezi kubadilisha kipigo tutakachowapa tukikutana lazma mpigwe tu maana hakuna namna nyingine
Tafuta posts (michango) za Root uzisome.
 
Najua mashabiki wengi wa Chelsea ni mamluki..kwa mbaali nawaona wakifungasha mizigo na kurudia timu zao za awali.....

Unalitamani hilo litokee ila ndo hivyo sisi sio kina Ngongo walioihama arsenal...huyooooooooooooooooooo
 
Last edited by a moderator:
Mlikuwa mnacheza vipi na sasa mnacheza mfumo gani?

If you have been watching the games msimu huu ungeelewa.

But kuanza kukuelezea kwa nadharia ni ngumu kidogo. Its just that mabadiliko hayo yametokea wakati hatujawapata watu wazuri wa defence na striking force. Ila we will bounce back.

Now, Cech's sale feels bad...an untimed sale...didnt foresee the future. Anyway alitaka kuwa mkubwa kuliko timu.

We will be back....!!!
 
Jamani nahic mourinho alikuja kuuza wachezaji na sio kujenga team maana kauza wachezaji wengi sana batrend.romau.wote soton.lukaku.cech.luiz.mata.de bren.
 
If you have been watching the games msimu huu ungeelewa.

But kuanza kukuelezea kwa nadharia ni ngumu kidogo. Its just that mabadiliko hayo yametokea wakati hatujawapata watu wazuri wa defence na striking force. Ila we will bounce back.

Now, Cech's sale feels bad...an untimed sale...didnt foresee the future. Anyway alitaka kuwa mkubwa kuliko timu.

We will be back....!!!
Matokeo ya leo ya Man City na yale ya Arsenal yameipa Chelsea nafasi ya kutetea ubingwa wao. Gap ni ndogo ni 15 points tu. Inawezekana hizi timu zimeamua kuisubiri Chelsea i-bounce back ili ligi inoge.

Ntuzu, Kalou kimahesabu ubingwa bado unawezekana. Root na Enzo wiki ya kesho Ze blauz inajibadili tena kuwa ze bluuz.
 
Mkuu Mentor hivi kweli uliamini Ngongo aliwahi kuwa mshabiki wa Arsenal ?.Yale yalikuwa mashamu shamu ya kuwachokoza mashabiki wa Arsenal kama Wacha1 .Sijawahi kuwa mshabiki wa Arsenal hata siku moja Mimi ni Manchester United tangu darsa la 5 labda ulikuwa haujazaliwa.

Unalitamani hilo litokee ila ndo hivyo sisi sio kina Ngongo walioihama arsenal...huyooooooooooooooooooo
 
Last edited by a moderator:
Mentor Ntuzu .....

yo.jpg
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom