Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

5184.jpg
 
Wenye jukwaa wako "bizee" wamejificha kwa uvunguni au darini?

Ze bluuz iko kwenye "mkwamo"

Mentor, Kalou

Leo Evanovic hakuwepo, Na Mourinho hakuwepo, vichochoro havikupo uwanjani. Naomba list ingine leo nani alikuwa uchochoro?

Ntuzu kwa matokeo ya leo(kipigo) ni bahati kwa Mou. Halazimiki kufanya post-match interview. FA itabidi wasubiri wiki inayofuata kama wanataka mapesa ya Mourinho.

Enzo, Root, CleverKing na ze blauz zote mjitayarishe kuchukua nafasi ya 17 wiki kesho. Newwcastle anataka nafasi yenu mliyoipigania leo? Timu zingine zinapigania kwenda juu, Chelsea inapigania kwenda kusalimiana na Aston Villa na Sunderland?

Ze special one ni noumaaaa! Mou ametaka laana ya Wenger na Eva sasa ameipata.

Nilisahau kumuambieni pole. Poleni nyote kwa mpigo kwa kipigo.
 
2E36467200000578-0-image-a-49_1446922241113.jpg


The 26-year-old former Werder Bremen forward improvised with an athletic effort as he powered a volley past Chelsea keeper Begovic

2E36440A00000578-0-image-a-45_1446922080342.jpg



2E36527E00000578-0-image-a-54_1446922687459.jpg


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

2E35607200000578-0-image-m-6_1446917857415.jpg



2E35C55700000578-0-image-a-1_1446917769447.jpg


@Mungiki Brothers et al ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

2E3630EB00000578-0-image-a-36_1446921239297.jpg



2E36088700000578-0-image-a-27_1446919948507.jpg


khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Ntuzu popote ulipo pole sana
Kuna kijana mmoja mkaazi wa daraja bovu amepata ajali ya kujinyonga. Alijitundika kwa mwembe na alivaa jezi ya yokohama.
Utambulisho wake,jina) bado haujajulikana.

Sifikirii kama ni Ntuzu kwa sababu Ntuzu saa hizi huwa anapata ulanzi baada ya kuangalia kandanda safi ya Costa na Hazard.
 
chelsea kama watford 2...polen bhn..ila nyumba hii kwa misiba mzid
 
chelsea mtafungwa mpaka mtakapotupatia majibu kuhusu diego costa
1)ana miaka mingapi
2)kipaji chake ni ngumi au mpira

Hapa kazi tu
 
Kuna kijana mmoja mkaazi wa daraja bovu amepata ajali ya kujinyonga. Alijitundika kwa mwembe na alivaa jezi ya yokohama.
Utambulisho wake,jina) bado haujajulikana.

Sifikirii kama ni Ntuzu kwa sababu Ntuzu saa hizi huwa anapata ulanzi baada ya kuangalia kandanda safi ya Costa na Hazard.

Kwikwikwi. .......
 
chelsea mtafungwa mpaka mtakapotupatia majibu kuhusu diego costa
1)ana miaka mingapi
2)kipaji chake ni ngumi au mpira

Hapa kazi tu

Hawajashinda mechi ht 1 ya ligi tangu Lubuva aruhusu kampeni zen uchaguzi na watu washaapishwa....wao bado tu
 
mpoooo???😉😉
 

Attachments

  • 1446930507409.jpg
    1446930507409.jpg
    21.1 KB · Views: 216
  • 1446930549051.jpg
    1446930549051.jpg
    27.9 KB · Views: 212
  • 1446930634451.jpg
    1446930634451.jpg
    14.8 KB · Views: 216
Wenye jukwaa wako "bizee" wamejificha kwa uvunguni au darini?

Ze bluuz iko kwenye "mkwamo"

Mentor, Kalou

Leo Evanovic hakuwepo, Na Mourinho hakuwepo, vichochoro havikupo uwanjani. Naomba list ingine leo nani alikuwa uchochoro?

Ntuzu kwa matokeo ya leo(kipigo) ni bahati kwa Mou. Halazimiki kufanya post-match interview. FA itabidi wasubiri wiki inayofuata kama wanataka mapesa ya Mourinho.

Enzo, Root, CleverKing na ze blauz zote mjitayarishe kuchukua nafasi ya 17 wiki kesho. Newwcastle anataka nafasi yenu mliyoipigania leo? Timu zingine zinapigania kwenda juu, Chelsea inapigania kwenda kusalimiana na Aston Villa na Sunderland?

Ze special one ni noumaaaa! Mou ametaka laana ya Wenger na Eva sasa ameipata.

Nilisahau kumuambieni pole. Poleni nyote kwa mpigo kwa kipigo.

Kuna kijana mmoja mkaazi wa daraja bovu amepata ajali ya kujinyonga. Alijitundika kwa mwembe na alivaa jezi ya yokohama.
Utambulisho wake,jina) bado haujajulikana.

Sifikirii kama ni Ntuzu kwa sababu Ntuzu saa hizi huwa anapata ulanzi baada ya kuangalia kandanda safi ya Costa na Hazard.

Hahahahaaaa.......

Wakati mwingine nikipitia hizi comments zenu nabaki nafurahi tu.......

Niwashukuru wote waliotupa pole na waliotuambia tukome pia nawashukuru sn......


Nachopenda kuwambia wote ni kwamba timu itakaa vizuri tu huu ni upepo tu unaopita.
 
Hahahahaaaa.......

Wakati mwingine nikipitia hizi comments zenu nabaki nafurahi tu.......

Niwashukuru wote waliotupa pole na waliotuambia tukome pia nawashukuru sn......


Nachopenda kuwambia wote ni kwamba timu itakaa vizuri tu huu ni upepo tu unaopita.
Huu upepo ulianza hivi hivi kwa kina AC Milan, Inter Milan, Liverpool,ngoja tuone wakwenu utaishia wapi.......
 
Hahahahaaaa.......

Wakati mwingine nikipitia hizi comments zenu nabaki nafurahi tu.......

Niwashukuru wote waliotupa pole na waliotuambia tukome pia nawashukuru sn......


Nachopenda kuwambia wote ni kwamba timu itakaa vizuri tu huu ni upepo tu unaopita.

Upepo huu unaitwaje? Kimbunga au Moumbunga?

Nilipata wasiwasi kidogo niliposikia kuna kijana aliyevalia fulana ya Yokohama amejitundika.Vizuri umejitokeza bandugu ukiwa na furaha.

Kuna ze blauz mmoja alisema mathematically possible ya kutwaa ubingwa msimu huu.Naomba unikumbushe jina lake nataka nimuulize swali.

Ntuzu uendelee kufurahi tu kwa sababu upepo huu utakapopita na msimu huu wa ligi umeisha.

Mshauri Mou akamwone Dr. E v a. Wachezaji wameumia wanamwitaji Eva aje kuwatibu.
 
Unajua mkifungwa mechi moja baada ya 10 games nduio inanoga kuwatania....sasa hivi mnafungwa kila bada ya mechi moja hata kuwatania haina maana! inabidi tuwatanie mkishinda MAANAKE MNASHINDA KWA MWEZI MARA MOJA KAMA MENSTRUAL CYCLE!!!!
 
Kwa Mara ya kwanza kabisa, chini ya utawala wa Abromovich, Chelsea ina point chache kuliko mechi walizocheza. Game 12,alama 11. Abromovich amekuwa mvumilivu sana. November-december fixture ni nzuri kwa Chelsea. Hii ndio itaokoa kibarua cha Mou.
 
Kuna kijana mmoja mkaazi wa daraja bovu amepata ajali ya kujinyonga. Alijitundika kwa mwembe na alivaa jezi ya yokohama.
Utambulisho wake,jina) bado haujajulikana.

Sifikirii kama ni Ntuzu kwa sababu Ntuzu saa hizi huwa anapata ulanzi baada ya kuangalia kandanda safi ya Costa na Hazard.

mungu aepushe mbali asije akawa Ntuzu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom