Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahahaaaa.......

Wakati mwingine nikipitia hizi comments zenu nabaki nafurahi tu.......

Niwashukuru wote waliotupa pole na waliotuambia tukome pia nawashukuru sn......


Nachopenda kuwambia wote ni kwamba timu itakaa vizuri tu huu ni upepo tu unaopita.
Mkuu huu si upepo peke yake ujue... the blues are becoming the reds and there is no sign of the greens.... the special one to unwanted one... This is football dah
 
Unajua mkifungwa mechi moja baada ya 10 games nduio inanoga kuwatania....sasa hivi mnafungwa kila bada ya mechi moja hata kuwatania haina maana! inabidi tuwatanie mkishinda MAANAKE MNASHINDA KWA MWEZI MARA MOJA KAMA MENSTRUAL CYCLE!!!!

This is not chelsea kwa kweli au Leicester kachukua nyota yao??
 
nampenda sana moronyo ili kulinda heshima yake naona aachane na Chelsea akatafute timu nyingine, mashabiki tunampenda Ila wachezaji hawampendi na wataendelea kumuaibisha asipoondoka
 
Shida sio Mourinho. Tumebadili style of play and ts becoming a bit tough to adapt. Ila we will get there.

January kuna haja kubwa ya kufanya signing za maana za central defender...left back defender...na striker.
 
Inaonekana bado Roman hajapata mrithi wa Mourinho,akipatikana tu Jose atapigwa chini
 
Hahahahaaaa.......

Wakati mwingine nikipitia hizi comments zenu nabaki nafurahi tu.......

Niwashukuru wote waliotupa pole na waliotuambia tukome pia nawashukuru sn......


Nachopenda kuwambia wote ni kwamba timu itakaa vizuri tu huu ni upepo tu unaopita.

Mkuu kwanza pole sana maana sitaki kuona msimu ujao haupo kwenye ligi.

Vipi kale kaushahidi niendelee kukatunza au nikachome moto????
 
No!No! They are not turning into red No kubwa their turning into GREYBLACK
 
Kuna kijana mmoja mkaazi wa daraja bovu amepata ajali ya kujinyonga. Alijitundika kwa mwembe na alivaa jezi ya yokohama.
Utambulisho wake,jina) bado haujajulikana.

Sifikirii kama ni Ntuzu kwa sababu Ntuzu saa hizi huwa anapata ulanzi baada ya kuangalia kandanda safi ya Costa na Hazard.

Kumbe KUJINYONGA ni AJALI nilikuwa sijui...!!
 
Najua mashabiki wengi wa Chelsea ni mamluki..kwa mbaali nawaona wakifungasha mizigo na kurudia timu zao za awali.....
 
Inaonekana bado Roman hajapata mrithi wa Mourinho,akipatikana tu Jose atapigwa chini

Abrom anajua kuwa tatizo la team sio Kocha ila kuna uhuni wa baadhi ya wachezaji ambao wameshajulikana kuwa wanaihujumu team na kocha kwa makusudi..!!

Ukifika muda mtawajua tu hao player
 
Shida sio Mourinho. Tumebadili style of play and ts becoming a bit tough to adapt. Ila we will get there.

January kuna haja kubwa ya kufanya signing za maana za central defender...left back defender...na striker.

Mlikuwa mnacheza vipi na sasa mnacheza mfumo gani?
 
Abrom anajua kuwa tatizo la team sio Kocha ila kuna uhuni wa baadhi ya wachezaji ambao wameshajulikana kuwa wanaihujumu team na kocha kwa makusudi..!!

Ukifika muda mtawajua tu hao player

Hebu tuambie ni kina nani,na kwanini wanafanya hivyo?
 
Huu ni upepo tu na utapita. Liverpool, Man, Arsenal wote wamepitia chungu hiki hiki cha moto. Ipo siku with watazima fegi.
 
Kwa Mara ya kwanza kabisa, chini ya utawala wa Abromovich, Chelsea ina point chache kuliko mechi walizocheza. Game 12,alama 11. Abromovich amekuwa mvumilivu sana. November-december fixture ni nzuri kwa Chelsea. Hii ndio itaokoa kibarua cha Mou.

Sio amekua mvumilivu sn aujua umuhimu wa Jos? Mourinho.....
 
Shida sio Mourinho. Tumebadili style of play and ts becoming a bit tough to adapt. Ila we will get there.

January kuna haja kubwa ya kufanya signing za maana za central defender...left back defender...na striker.

Afadhali umekuja kutujuza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom