Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mmefurahi .....

Haya picha hii sasa ongeza furaha....
Mtu ingine ingeleta hii picha ,ungelalamika kwa wanamtukana Mou.
Picha inaonesha Mou amegeuka Moureen. Nini ujumbe wako?
Unatafuta Ugomvi kutoka kwa Enzo au unakubaliana na Root kuwa Mou akafanye kazi za kwa jiko.?
 
Vuzuri kuwa bado una "sense of humor" ingawaje kwa ndani na kwa moyo ni tanuri la kuokea pizza. Au ni boiling water?


Teh teh teh teh Nonda mi niko
Pouwa kabisa.

Mtu ingine ingeleta hii picha ,ungelalamika kwa wanamtukana Mou.
Picha inaonesha Mou amegeuka Moureen. Nini ujumbe wako?
Unatafuta Ugomvi kutoka kwa Enzo au unakubaliana na Root kuwa Mou akafanye kazi za kwa jiko.?

Mnamtukana Mou Mara nyingi tu umeona nasema kitu?
Nimetuma picha kukusaidia wewe ufurahi au niongeze ingine
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh teh Nonda mi niko
Pouwa kabisa.

Mnamtukana Mou Mara nyingi tu umeona nasema kitu?
Nimetuma picha kukusaidia wewe ufurahi au niongeze ingine
Ndugu Pakua picha hizo, tuongeze furaha.
Wewe uko pouwa kama Mourinho au unamzidi kidogo?
 
Ndugu Pakua picha hizo, tuongeze furaha.
Wewe uko pouwa kama Mourinho au unamzidi kidogo?

Hahahahaaaa napakua Nonda

Vipi kule kwetu Maalim Saif atapewa nchi?
 
Last edited by a moderator:
Domourinho at work
 

Attachments

  • 1446306110632.jpg
    1446306110632.jpg
    34.8 KB · Views: 60
Hii ni aibu mpaka Wacha1 leo katuonea huruma?

Mkuu pole maana ni hatari .... ...... .....

2DF92F7400000578-0-image-a-81_1446305935767.jpg


2DF92F8400000578-0-image-a-82_1446305970221.jpg


Skrtel winced in pain briefly but did not over-react to the incident, helping Costa back to his feet

Toto tundu linachubiri another ban ..... ..

2DF8F57200000578-0-image-a-65_1446304449275.jpg


Huu uanamichezo haukubaliki
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
Hivi ndo mungiki brother eeh ?

Ni kosa la jinai na unaweza kufungwa kuuliza jina kamili la members wa forum kwani weye hufahamu? Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom