Ulimpigia "kula"?
Pia Ulipeleka familia vituoni kumpigia "kula"?
Kama jibu ni ndio, basi haibiwi mtu hapa!! Linda ushindi wako!
Kwenu ni mchambawima, makunduchi au mwanakwelekwere?
Pinda alishasema Zanzibar si nchi.
Kwikwete kwa kiherehere alisema Zanzibar ni nchi ndani lakini si nchi nje ya Tanzania.
Sawasawa! Zungusha zungusha, zungusha! Moureeennn, powerrrr,, Ze bluuuzzz, ziiiii! ze bluuzzz, Ziiiiiiii!
Usibanie, pakua picha dugu, tupate kuongeza furaha.