Malafyale naona leo majogoo yalilishwa makande sio mpunga.
Atamlaumu mwamuzi kwa muda wa nyongeza kipindi cha kwanza, pia atamlaumu mwamuzi kwa kutompa Lucas kadi ya pili ya njano.Tangu League ianze haijapanda zaidi ya nafasi ya 13. Ngoja tuone maurinho atamlaumu nani Leo...
Mkuu nilipo ona ile perfomance na Soton nikajua 100% Chelsea haponi
Poleni wadau duh cute b rudi kwako sasa muda umefika
Duh! Pamoja na majigambo yake na kashfa kwa Wenger ila mimi kama binadam naomuonea mou huruma mtu mzima kulia sio jambo la kitoto
Itakuwa poa wakimuongezea muda
Mou kalia?? Kalia mchozi kabisa??
Bora hata umekuja kuniondoa huku maana naumia sana kumkosa mou...
Atamlaumu mwamuzi kwa muda wa nyongeza kipindi cha kwanza, pia atamlaumu mwamuzi kwa kutompa Lucas kadi ya pili ya njano.
Pia atalaumu Klopp kwa kusimama saa zote na kutoa maelekezo au kushangilia timu yake.
Wenye daraja wako bizee!(wamenywea na kujificha).Darajani ni Majanga nowadays
Wenye daraja wako bizee!(wamenyea na kujificha).
Ntuzu, Mentor, Root, Enzo, Kalou, CleverKing et al mukuje hapa timpeni "pole" na "Hedex".
Nasikia Majogoo yalitega misimari mitatu kuangalia uiamara wa Tairi la Yokohama, vipi jamani nani anajua kilichotokea?
Yokohama imetolewa upepo?
Duh! Utulivu umerudi mtaani. Hapa ilikuwa ze special one, ze special one, ze bluuzzz, ze bluuzz...ze bluuzzz imevalishwa "blauz"
Niliona wanazi wa darajani wanaondoka kwa mlolongo baada ya bao la pili la Ze majogoo huku wakiimba JOosee Mourinhoooo!
Leo huna uchambuzi wa mechi hii?Niambie Mkuu Nonda
Leo huna uchambuzi wa mechi hii?
Au unahitaji muda kutafakari kama unataka kuamua kuwepo alipo?
Vuzuri kuwa bado una "sense of humor" ingawaje kwa ndani na kwa moyo ni tanuri la kuokea pizza. Au ni boiling water?Mmefurahi .....
Haya picha hii sasa ongeza furaha....