everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Leo nimejikuta nina mahaba na mou...
Kweli nafarijika sana mou akiwa kocha wa chelsea...msimfukuze bhana.. mna kocha jasiri sana...
Sasa kama chelsea player na fans mnaomba mfungwe ili mumfukuze mmefeli mimi leo naiombea chelsea ifunge...
Cc everlenk.. umoja ni nguvu tuiombee chelsea leo ipate point tatu
Halafu mods leo wanafitina sijui kidude cha like wamekipeleka wapi? Mhhh!! Mimi nina Mahaba na wote niko katikati huku mume kule kaka loohhhhn!!! Sina la kusema miye ila leo yoyote ni halali yangu kwa kucheza kigodoro......lol
haya maneno yametoka moyoni kweli maana huwa sikuamini msaga sumu mwenzangu
Kitufe cha like leo ndio umegundua hakipo? Lol tangu juzi pacha...
Hongera kaka yangu kwa kupata udiwani ..
Asante dada yangu
Kwema nyumbani ww na shemeji?
![]()
Chelsick damu wako wapi? i.e. @Invisible et al.
Oyooooooooooooooo asante mou...
Chel 1-0 liv
Makubwa aiseee!!!!!
Hhahhahahhah angalia usijenge kwa jirani utasahau kwako......Crystal palace si wakuwabeza atiiii!!
Tatizo la chelsea kwa sasa ni nn zaidi