Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mentor kuna tetesi kwamba big Sam anakuja kuchukuwa mikoba ya Mourn-inho baada ya international break
 
Last edited by a moderator:
Aiseee
 

Attachments

  • 1444057831718.jpg
    1444057831718.jpg
    37.1 KB · Views: 104
Nonda nasikia best yako moureen kapigwa faini na FA kwa ile kauli yake kwamba marefa wanaogopa kuipatia chelsea penalty?? Hii imekaaje?
 
Last edited by a moderator:
Nonda nasikia best yako moureen kapigwa faini na FA kwa ile kauli yake kwamba marefa wanaogopa kuipatia chelsea penalty?? Hii imekaaje?

Kwani si alisema yuko tayari kuadhibiwa au kulipa faini? Au mmesahau?
 
Last edited by a moderator:
Mourinho alilalamika kua hiyo timu ilibebwa au alilalamika juu ya nini?

Mkuu tukiweka unazi pembeni, ile aliyokuwa anailalamikia mou ( ya falcao) ilikuwa ni penalty kweli?
 
Mourinho alisema marefa wanaogopa kuipa Chelsea penati kibaya zaidi akatoa reference hadi kwenye champions league

Okay... Umejibu vema kabisa.

Mourinho yuko sawa tena ktk uefa marefa walichemka kabisa.... Marefa watano wanashindwa kuona mtu kashika mpira kwa mkono?
 
Okay... Umejibu vema kabisa.

Mourinho yuko sawa tena ktk uefa marefa walichemka kabisa.... Marefa watano wanashindwa kuona mtu kashika mpira kwa mkono?
Pressure is pilling up!!!

Mou anatetea kama kuku anaetaka kutaga.... sijui atataga yai au mayai.

Msimu ulipita alisema Jose Mourinho says 'campaign' against Chelsea is influencing referees after controversy at Southampton | Football News | Sky Sports

link 2. BBC Sport - Jose Mourinho: There is a campaign against Chelsea

Huwezi kuamini lakini lia lia ya Mou pia ilijitokeza alipocheza na Southampton

Chelsea manager Jose Mourinho has been charged with misconduct by the Football Association for remarks he made about match officials following his side's 3-1 home loss to Southampton on Saturday.

Link http://www.bbc.com/sport/0/football/34449753

Bobby Madley was correct to turn down Radamel Falcao's penalty shout against Southampton, according to former referee Dermot Gallagher.

Link http://www.skysports.com/football/n...-dermot-gallagher-analyses-the-weekend-action
 
Okay... Umejibu vema kabisa.

Mourinho yuko sawa tena ktk uefa marefa walichemka kabisa.... Marefa watano wanashindwa kuona mtu kashika mpira kwa mkono?

Sasa kuna uhusiano gani kati ya game ya Saints na ile ya Porto? (Marefa wa UEFA unakuja kulalamika game ya EPL),sidhani kama game ya Saints ilikuwa na sababu ya marefa jamaa walicheza mpira waliwazidi.
Last season alisema kulikuwa na " Campaign against Chelsea from referee " mwisho wa msimu akadeclare kuwa alikosea kutoa hizo shutuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom