everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Ndio DD nguli alifanya vzr sn lkn ata huyu Costa atafanya vzr tu tena Zaidi ya hapo. Muacheni jamani Costa afurahie kipaji chake
Yaaaaaan unazidi kunivuruga!!!!!!
Ndio DD nguli alifanya vzr sn lkn ata huyu Costa atafanya vzr tu tena Zaidi ya hapo. Muacheni jamani Costa afurahie kipaji chake
Usisikitike my dear everlenk
Mimi naamini hivyo kwasababu falisafa ya mpira na mbinu zake na falisafa ya Chelsea na Mou naifahamu vzr. Kwahiyo nitaendelea kusimamia kile ninacho amini
Ndio DD nguli alifanya vzr sn lkn ata huyu Costa atafanya vzr tu tena Zaidi ya hapo. Muacheni jamani Costa afurahie kipaji chake
Bado unatumia maji ya Kilimanjaro tu embu badilisha basi kinywaji chukua kinywaji chochote nakuja kulipa.... Ntuzu ngosha wane kweli unamfananisha Drogba na umafia na hasira za Costa? Come on man are you serious? ???
kuteleza si kuanguka. man united itafanya vizuri mechi zijazo za uefa wait and see
Mkuuu
Nyota njema huonekana asubuhi...
Costa aliwika sana msimu wa kwanza ila baada ya mechi 20 za kwanza hajawahi funga gol nyingi sana.
Na pia kwa msimu huu hafikishi 20 kwenye mashindano yote...
Costa atarudi Atletico msimu ujao, amini hilo... na pia Chelsea ianze tengeneza strikers kununua striker wengi kasoro Drogba tu ndo alifanya vizuri....
Remy ni mzuri sema hapewi nafasi...
Hivi sasa twataka timu ambayo itakuwa na reputation nzuri...
Timu yetu inashambuliwa kwa ubaguzi, kocha kuongea maneno machafu, wachezaji kujidondosha kama ile ya PSG, twacheza kwa kulinda goli....
kumbe hilo unalijua!' sasa kelele za nini humu?! mbona hukusema wakisema Uefa inaisha leo .............
Akajisajili kwenye mieleka au rugby.Ndio DD nguli alifanya vzr sn lkn ata huyu Costa atafanya vzr tu tena Zaidi ya hapo. Muacheni jamani Costa afurahie kipaji chake
Mou aombe radhi kwa "kumdhalilisha" Eva.Hahahahahaha! !!! Ntuzu anamuiga baba yake kila kitu kajifanya hamtaki tena Eva.......
Enzo vipi umekimbia shule leo?hivi wewe timu gani? Mbona kama hujielewi elewi ........
.....
Mimi naamini hivyo kwasababu falisafa ya mpira na mbinu zake na falisafa ya Chelsea na Mou naifahamu vzr. Kwahiyo nitaendelea kusimamia kile ninacho amini
hivi wewe timu gani? Mbona kama hujielewi elewi ........
hivi wewe timu gani? Mbona kama hujielewi elewi ........
Wewe ndo hujielewi elewi. .....huyu ni mwanasoka anaelewa nini anachokisema.
Enzo vipi umekimbia shule leo?
Hongereni siyo mbaya naona mnalitetea vyema Kombe lenu.
HT Chelsea 2 -1 Walsall
Wewe ndo hujielewi elewi. .....huyu ni mwanasoka anaelewa nini anachokisema.
Na umwache Root sio shabiki donati. Wakizingua wanachanwa tuu...
mwanasoka wapi!' hangover za ulanzi hizo .........
bora umemsoma shabiki skonzi!' ...........