Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kigodoro kimegoma tena...
Umeibuka bandugu.
Mlicheza na timu ya daraja la ngapi leo?
Timu -enyewe inaitwaje?
Kwa hiyo umefurahi sana leo?
Kwa hii timu ngumu mliyoishinda leo lazima nimpeni "mind the gap" nyote hongela la nguvu. Hongeleni nyote kwa mpigo, dogo Enzo, rafiki na dugu -angu Ntuzu, Mentor, Kalou, lafiki na Wacha1
 
haters mtachonga saana kuhusu kufungiwa kosta lakini mkae mkijua kwamba ule ushindi wa 2-0 (na pointi 3) hauwezi. elewa ushindi ni ushindi tu hata kama wa goli la mkono. katika mpira kuna mbinu nyingi za kumdhaifisha mpinzani wako ili kumshindi. mwisho wa siku kinacho matter hapa ni ushindi tu. kufungiwa kwa kosta is not such a big deal. tuna kikosi madhubuti kinachoweza kushinda bila kuwepo mchezaji nguli yeyote yule. mmeelewa?
Link http://sports.yahoo.com/blogs/soccer-fc-yahoo/diego-costa-banned-three-games-150002594.html
 
haters mtachonga saana kuhusu kufungiwa kosta lakini mkae mkijua kwamba ule ushindi wa 2-0 (na pointi 3) hauwezi. elewa ushindi ni ushindi tu hata kama wa goli la mkono. katika mpira kuna mbinu nyingi za kumdhaifisha mpinzani wako ili kumshindi. mwisho wa siku kinacho matter hapa ni ushindi tu. kufungiwa kwa kosta is not such a big deal. tuna kikosi madhubuti kinachoweza kushinda bila kuwepo mchezaji nguli yeyote yule. mmeelewa?
Barca boss Luis Enrique, said: "What decided this game is how well Celta played. It was highly effective football from them. It was very good.

"I'd rather lose to a team that plays like Celta did today, without any tricks, purely winning through their football. I congratulate them and hope they can carry on playing like that."

Link BBC Sport - Celta Vigo 4-1 Barcelona

Chelsea boss Jose Mourinho says that the 3-0 loss to Manchester City is a "fake result", adding that his side were the better team in the second

Link BBC Sport - Manchester City 3-0 Chelsea: Jose Mourinho says scoreline was 'fake'

Jose Mourinho claimed that Chelsea’s 3-0 loss to Manchester City was “a fake result” and that his side should have got more from the game.
Link Jose Mourinho claims Manchester City defeat was ''a fake result'' - Mirror Online
 
FT Chelsea 4 -1 Walsall
Hongereni sana mmetetea vyema Kombe lenu Ntuzu Mentor kalou ENZO Root.....
Ntuzu nimeona wafungaji wengi sana hahahhahahha

Umeonaaaaa eeeeeeh? Alafu Mou anavyonipa raha siku hizi hizi wachezaji wooooote anawatumia. Anawapa nafasi kucheza.

Nimeshakwambia YokoBUS limekata break yoyote itakae kaa mbele ni kumkumpula tu.......heheheheeeeee.
 
Last edited by a moderator:
Mkuuu
Nyota njema huonekana asubuhi...
Costa aliwika sana msimu wa kwanza ila baada ya mechi 20 za kwanza hajawahi funga gol nyingi sana.
Na pia kwa msimu huu hafikishi 20 kwenye mashindano yote...
Costa atarudi Atletico msimu ujao, amini hilo... na pia Chelsea ianze tengeneza strikers kununua striker wengi kasoro Drogba tu ndo alifanya vizuri....
Remy ni mzuri sema hapewi nafasi...
Hivi sasa twataka timu ambayo itakuwa na reputation nzuri...
Timu yetu inashambuliwa kwa ubaguzi, kocha kuongea maneno machafu, wachezaji kujidondosha kama ile ya PSG, twacheza kwa kulinda goli....

Root unataka kunipa kz kubwa kuelezea mambo mengi. Kitu nachopenda ufahamu hoja zako zote ulizotoa hapa hazina mashiko Mkuu. Sijui kulinda goli, sijui timu inashambuliwa kwa ubaguzi, sijui kocha anatoa maneno kujiangusha etc. Zote hizi hoja zako hazina mashiko.
 
Last edited by a moderator:
Jose Mourinho says 'retaliation now allowed' after Gabriel decision

The Football Association has set a dangerous precedent by rescinding the red card given to Arsenal's Gabriel, says Chelsea manager Jose Mourinho.

Domokaya anaendelea kupayuka hapa:

Mourinho said: "Now we know that retaliation is allowed. No problem, you can do it."

Mourinho said he had not spoken about Costa's three-match ban for fear of being suspended.

"If I bring feelings into the discussion a big suspension will be waiting for me and I don't want that," he said.

"The team lost an important player for three matches and I don't think they need to lose their manager.

Link BBC Sport - Jose Mourinho says 'retaliation now allowed' after Gabriel decision
 
Pouwaaaaa!!!! Ndo nini jana umenifanya umenigandisha mlangoni pako na juice yangu? Sasa leo zamu yako uje uifuate mwenyeweeeee!!! BTW Hongera sana kwa mafuriko ya Magoli ya jana .......

Samahani mkuuu...
Leo nina furaha sana
Eid njema
Naja ifata baadae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom