Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Cute
Kama Mwamuzi aliona na kufanya maamuzi sahihi. Costa alikuwa apate ile kadi ya rangi ya damu. Mchonga meno angesalimika na Chelsea wangesoma ubao ukisomeka 3,4,-0. Pia kama Arsenal wangetangulia kufunga Santi C asingejipeleka kupata kadi ingine ya manjano

Chelsea wangebakia 10 au 9, na Arsenal wangekuwa na wachezaji 11 uwanjani.
Mwamuzi aliamua kuibeba Ze bluuzz.

Mimi nilipendelea tupate burudani kwa kuwepo wachezaji 22 uwanjani kwa muda wote wa mchezo, lakini "dark art" haikuruhusu hilo litokee.

Ntuzu na Mentor sijui wangesafirishwa matibabuni India kama mwamuzi hakubuni matokeo ya kuipa ze bluuzz point 3?

we kuna siku utakuja kuishabia chelsea!', kama hata si hapa duniani basi mbinguni ............. ungempa wewe basi hiyo kadi nyekundu. Gabriel ndio aliyataka mwenyewe yeye ameshapewa kadi ya njano badala atulize kijambio!' katoka kaenda kumkanyaga kwa makusudi!' kwanza ugomvi wenyewe ulikua hamhusu.
 
Cute
Kama Mwamuzi aliona na kufanya maamuzi sahihi. Costa alikuwa apate ile kadi ya rangi ya damu. Mchonga meno angesalimika na Chelsea wangesoma ubao ukisomeka 3,4,-0. Pia kama Arsenal wangetangulia kufunga Santi C asingejipeleka kupata kadi ingine ya manjano

Chelsea wangebakia 10 au 9, na Arsenal wangekuwa na wachezaji 11 uwanjani.
Mwamuzi aliamua kuibeba Ze bluuzz.

Mimi nilipendelea tupate burudani kwa kuwepo wachezaji 22 uwanjani kwa muda wote wa mchezo, lakini "dark art" haikuruhusu hilo litokee.

Ntuzu na Mentor sijui wangesafirishwa matibabuni India kama mwamuzi hakubuni matokeo ya kuipa ze bluuzz point 3?

Usitudanganye hapa kutafuta excuse ya arsenal kufupigwa 2-0 mechi 13 zote mnapigwa tangu dk ya kwanza hadi paulista anatolewa nje si wangekuwa washafunga hata 3 kuna timu zina/zilishinda wakiwa 9 uwanjani rejea Cameroon vs Brazil mashindano Olympic Cameroon waliibuka machampion
 
Usitudanganye hapa kutafuta excuse ya arsenal kufupigwa 2-0 mechi 13 zote mnapigwa tangu dk ya kwanza hadi paulista anatolewa nje si wangekuwa washafunga hata 3 kuna timu zina/zilishinda wakiwa 9 uwanjani rejea Cameroon vs Brazil mashindano Olympic Cameroon waliibuka machampion
Umeshanichagulia timu ya kuishabikia?

the say is saying, Cameroon vs Brazil mashindano Olympic Cameroon waliibuka machampion.

Niambie lini Chelsea wameshinda wakiwa 9 na timu pinzani ikiwa na wachezaji 11?
 
we kuna siku utakuja kuishabia chelsea!', kama hata si hapa duniani basi mbinguni ............. ungempa wewe basi hiyo kadi nyekundu. Gabriel ndio aliyataka mwenyewe yeye ameshapewa kadi ya njano badala atulize kijambio!' katoka kaenda kumkanyaga kwa makusudi!' kwanza ugomvi wenyewe ulikua hamhusu.
Leo umesomeshwa nini huko shule ya kata? Yahusuyo kijambio?

Inawezekana kweli kwa Nonda kushabikia timu ya mpira wa miguu inayocheza mieleka na rugby?
Mimi msimu huu nazikodolea macho Leicester, C. Palace na West ham.
 

Attachments

  • 1442956407953.jpg
    1442956407953.jpg
    45.5 KB · Views: 77
Hahahahaaaa kawa mzee wa mistari...,
Ntuzu, Mentor, Kalou....Yametimia.

Mieleka,rugby na Uhuni haukubaliki uwanjani, uwanja wa kandanda. Costa amepewa muda ajitafakari na atafakari kama anataka kucheza mpira wa miguu au mieleka.

Diego Costa: Chelsea striker banned for three matches

Striker Diego Costa will miss Chelsea's next three domestic matches after a Football Association charge of violent conduct was upheld.
Costa denied the charge, relating to an incident involving Laurent Koscielny during Saturday's 2-0 win over Arsenal.

Costa, 26, put his hands in Koscielny's face before clashing with Gabriel, who was sent off but had a three-game ban overturned earlier on Tuesday.

In a statement, Chelsea said they were "disappointed" with the verdict.

Link BBC Sport - Diego Costa: Chelsea striker banned for three matches

CC kwa "haters" na "wakaangasumu" wote. Cuteb et al
 
Ntuzu, Mentor, Kalou....Yametimia.

Mieleka,rugby na Uhuni haukubaliki uwanjani, uwanja wa kandanda. Costa amepewa muda ajitafakari na atafakari kama anataka kucheza mpira wa miguu au mieleka.

Diego Costa: Chelsea striker banned for three matches

Striker Diego Costa will miss Chelsea's next three domestic matches after a Football Association charge of violent conduct was upheld.
Costa denied the charge, relating to an incident involving Laurent Koscielny during Saturday's 2-0 win over Arsenal.

Costa, 26, put his hands in Koscielny's face before clashing with Gabriel, who was sent off but had a three-game ban overturned earlier on Tuesday.

In a statement, Chelsea said they were "disappointed" with the verdict.

Link BBC Sport - Diego Costa: Chelsea striker banned for three matches

CC kwa "haters" na "wakaangasumu" wote. Cuteb et al

Hahahahahaha!!!! Mbona watajibeba???? Poleni sana wanadarajani mbigeni moyo konde .......
 
Ntuzu, Mentor, Kalou....Yametimia.

Mieleka,rugby na Uhuni haukubaliki uwanjani, uwanja wa kandanda. Costa amepewa muda ajitafakari na atafakari kama anataka kucheza mpira wa miguu au mieleka.

Diego Costa: Chelsea striker banned for three matches

Striker Diego Costa will miss Chelsea's next three domestic matches after a Football Association charge of violent conduct was upheld.
Costa denied the charge, relating to an incident involving Laurent Koscielny during Saturday's 2-0 win over Arsenal.

Costa, 26, put his hands in Koscielny's face before clashing with Gabriel, who was sent off but had a three-game ban overturned earlier on Tuesday.

In a statement, Chelsea said they were "disappointed" with the verdict.

Link BBC Sport - Diego Costa: Chelsea striker banned for three matches

CC kwa "haters" na "wakaangasumu" wote. Cuteb et al

Lap lap lap good newsss aaaah moyo wangu unabubujikwa na furaha sanaa.
Wamwongezee ziwe mechi sita jamani wasimbague hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom