Hahahahahaha!!!! Mbona watajibeba???? Poleni sana wanadarajani mbigeni moyo konde .......
Wape hongera kwa kuchukua headline this weak. Hahahaaaa
Hahahahahaha!!!! Mbona watajibeba???? Poleni sana wanadarajani mbigeni moyo konde .......
Wape hongera kwa kuchukua headline this weak. Hahahaaaa
Root unabahati wewe the blues mwenzangu alafu mkorintho mwenzangu. Vinginevyo ungenisababishia Ban wewe.Aibu sana kwetu sababu ya Costa....
Yeye ndo kafungiwa afu dogo kaachiwa...
Inabidi timu waangalie reputation ya timu maana itashuka sababu ya watu wajinga kama hawa kina Costa
Wape hongera kwa kuchukua headline this weak. Hahahaaaa
Hahahahahaha wewe siyo msagasumu tu Bali mpikajisumu.....
Lap lap lap good newsss aaaah moyo wangu unabubujikwa na furaha sanaa.
Wamwongezee ziwe mechi sita jamani wasimbague hivyo
Aibu sana kwetu sababu ya Costa....
Yeye ndo kafungiwa afu dogo kaachiwa...
Inabidi timu waangalie reputation ya timu maana itashuka sababu ya watu wajinga kama hawa kina Costa
Costa anatumia muda wake kwa sasa kuangalia Michezo ya rugby inayoendelea ili kujifunza mbinu mpya.Costa sio soccer player, labda akacheze American football. Inamfaa sana yule dogo. Alafu lile jamaa halina miaka 26 bwana...
Root unabahati wewe the blues mwenzangu alafu mkorintho mwenzangu. Vinginevyo ungenisababishia Ban wewe.
Costa sio soccer player, labda akacheze American football. Inamfaa sana yule dogo. Alafu lile jamaa halina miaka 26 bwana...
Samahani sana mkuuu...
Ila kiukweli ile kweli kweli sikupendezwa na kilichotokea siku hiyo...
Mbaya zaidi sijapenda kilichotokea hii wiki yaani decision kuwa overturned na sisi ndo twaonekana wabaya..
Mbaya zaidi Daktari kaondoka daaaaah yule mdada alikuwa poa sana
Dk alikosea na anapaswa kua mpole tu. Tumeshaliongelea hilo sn. Hebu fikiria km tungefungwa kwa upungufu wa wachezaji siku ni ni nani angelaumiwa? Dk au manager wa timu? Mambo mengine lazima tutafakari kwa kina na si kusukumwa na mapenzi kwa dk. Matokeo ya timu ni muhimu Zaidi kuliko dk Eve.
Tukija ktk swala la Costa. Defenders wengi wanamchezea mchezo mbaya sn Costa kwa maana hiyo imemfanya na yeye acheze mchezo wa kuwauzi.... Km umewahi kucheza mpira nafikiri utakua umenielewa vzr... Costa ni mchezaji mzuri sn. Na ndio maana yuko hapo Darajani km chaguo la kwanza la timu. Unaweza ukajikumbusha ni namna gani Drogba alivyo kua akipata taabu kwa hawa mabeki na mbaya Zaidi walikua wananing'inia mpk mabegani mwake na alikua akienda nao hivyo hivyo kimkanda mkanda... Sasa ndio hichi anachofanya Costa. Mpira si urembo km wa kina Geroud Bwana. Lazima uwe aggressive.
Usijali Mkuu tuko pamoja.
Ntuzu
Tukiangalia bado naona Drogba alijitahidi sana... Suarez alikuja mtundu na pale England akapakimbia
Bado unatumia maji ya Kilimanjaro tu embu badilisha basi kinywaji chukua kinywaji chochote nakuja kulipa.... Ntunzu ngosha wane kweli unamfananisha Drogba na umafia na hasira za Costa? Come on man are you serious? ???
Hahahah
Apple juice (home made)
Hahahaha una mitego weyee aisee Ngoja niingie tu jikoni nikuleteee vumilia kidogo tu......
Ntuzu
Tukiangalia bado naona Drogba alijitahidi sana... Suarez alikuja mtundu na pale England akapakimbia