Hata mimi naona ni zama za blue tu.....hahahaha my kaka kila jambo na Majira yake siyo kila siku ni Jumapili ya ushindi kuna ijumaa ya mateso pia, Wacha tucelebrate siye. .......
Duuu mbona siwaoni mamy the buluzi wapo wapi?
Hata mimi naona ni zama za blue tu.....hahahaha my kaka kila jambo na Majira yake siyo kila siku ni Jumapili ya ushindi kuna ijumaa ya mateso pia, Wacha tucelebrate siye. .......
Hahahhhahahaha mumy umeua, Ntuzu hamishieni huku zile point 3 mtakuwa na 10 aiseee mtakuwa mmesogea sana.
Hahahaaaaa unakumbuka ile siku sisi na asenal tulivyopoteza walitugawia goli moja moja... duuh walijivuna hao..
Wayalete huku kwenye PL sasa
Akiweka mguu shigoni Costa ataweka mikono machoni...
Patamu hapo hahahahaaaa
Duuu mbona siwaoni mamy the buluzi wapo wapi?
Hahahaaaaaa umesahau mamy mashabiki wa chelbus wanakujaga kwenye uzi wao siku wakifunga tuu?
Na siku wakifunga ndio wanakumbuka kuvaa jezi zao za blue?
Ngoja wafunge mechi ya kesho watakuja
Chelsea nyumaaaaaaazzz geuka! Kha nafasi ya sita pamoja na kuwapendelea kote hahahaaaa top 15 Hatareeeeeeee
Wamejificha wako bize kusaka salary pole wewe unayefanya kazi Facebook hahahhahahha Ngoja uje upewe madongo Yao mi nishaanza kukupa hahahahahahahahhah hehehheheiyaaaaaaaaa., khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee ding dong ding
Mrembo B, wala usiwe na wasiwasi ndio tumeanza league hivyo, msimu uliopita tulichukua ubingwa huku tumepoteza mechi nne tu, sasa tumepoteza tatu, so nafasi ya kuchukua Ubingwa bado ni kubwa sana, huku ukichukulia matokeo ya last week, Muongoza league keshadondosha point mbili
sisi sio waongeaji sana,
Mashabiki mandazi hehehehhe
Kituko bana embu acha Kituko sasa mambo ya zamani yanahusu? Sisi tunaishi kwa leo, juzi ,jana ,kesho na kesho kutwa haituhusu kabisaaa, embu Wacha tuifurahie leo maana haitakuja tokea siku kama ya leo.......Kaka nakuaminia simama nao hao, walipokuwa na Cantona, Roy Keane, Van nestrooy, Paul Scoles, waliona ni poa tu, leo mtoto wa America Kusini anawaonyesha Mpira wa kiumeni wanapiga kelele
Baelezege bakuelewe, na bado
Hahahahaaaa asante my bby.... Duh hichi kigodoro ata hamnionei huruma mume wenu.....? Kah.....!!! Mnapiga za uso tu.....!
Hahahahaaaa asante my bby.... Duh hichi kigodoro ata hamnionei huruma mume wenu.....? Kah.....!!! Mnapiga za uso tu.....!
Kwa hiyo unategemea waamuzi ili kuishusha Chelsea? Una uhakika gani kama Costa angepigwa red Chelsea angefungwa hizo goli ulizozitaja? Wenger ni mteja kwa Moureen na atasubiri sana!!
Binafsi nimefurahi Costa kupigwa ban ili tumuweke Remy,nyie wenyewe ndio mtajuta na kuanza kulia lia Oooh! bora hata Costa huyu Remy ni moto!!
Tulieni acheni kufanya Sherehe zisizo na maana,vichapo vipo njiani vinakuja
Mfalme usiye na maarifa.Kumbe unamuogopa Costa kiasi hicho?!!
Mpaka unatamani angefungiwa nusu msimu!!
Costa akirudi atakuwa kisha pewa maneno na kujirekebisha tabia kwa hiyo kazi atakayokuwa kabakiza ni kutupia Mipira nyavuni tu.
Kwa hiyo unategemea waamuzi ili kuishusha Chelsea? Una uhakika gani kama Costa angepigwa red Chelsea angefungwa hizo goli ulizozitaja? Wenger ni mteja kwa Moureen na atasubiri sana!!
Binafsi nimefurahi Costa kupigwa ban ili tumuweke Remy,nyie wenyewe ndio mtajuta na kuanza kulia lia Oooh! bora hata Costa huyu Remy ni moto!!
Tulieni acheni kufanya Sherehe zisizo na maana,vichapo vipo njiani vinakuja
Costa angetolewa msingefunga...
Kwanza wote mngekuwa pungufu.
First half mlikuwa wote mngeonyesha ubabe wenu tuone sasa.
Second half kila red card moja na goal moja. Mnecheza na watu 9 nyie 11 na refa wenu 12 bado unaita ni ushindi?
Wenger alikuwa mteja wenu enzi mnaitwa Chelsea ila now ni chelshit kwa wenger hamsogez labla mbebwe.
Umesahau fainal ya kombe la sahani? Duuu wenger mbayaaaaaa