Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

bora rooney. huyo costa majanga. tatizo anataka asikabwe. rooney ana hat-trick msimu huu costa je?

Rooney ana ubora gani? Mchezo wenu juzi na Soton mpk sura ya Rooney ilikua na huzuni.... Ana bahati sn hicho kiuraia cheke vinginevyo benchi lilikua lina muhusu. Cost ni mnyama.... Ni striker makini anajua kz vzr.
 
Rooney ana ubora gani? Mchezo wenu juzi na Soton mpk sura ya Rooney ilikua na huzuni.... Ana bahati sn hicho kiuraia cheke vinginevyo benchi lilikua lina muhusu. Cost ni mnyama.... Ni striker makini anajua kz vzr.
ila rooney anajua. huyo costa msimu uliopita alianza kwa mbwembwe sasa hivi kwisha habari yake. watu wanamkaba mpaka anageuka kuwa bondia
 
ila rooney anajua. huyo costa msimu uliopita alianza kwa mbwembwe sasa hivi kwisha habari yake. watu wanamkaba mpaka anageuka kuwa bondia

Tatizo mpira wewe hujacheza ndio maana unaona Costa hajui. Teh teh teh
 
hahahaha acha kunifurahisha
Yule naitwa Shaw ni dancer wa Kiba maana angekua kwa Dai angejidai sn.... Yule mrembo tu.... Mwanaume lazima uwe ngangari.... Shikamooooooo Hector
basi na wewe mpira hujacheza ndio maana unamuona rooney hajui. messi mwenyewe amemkubali rooney

Unaona sasa ulivyo mzito kuelewa. Yani Mimi km ningekua ndio striker wa Chelsea hao mabeki wa gunners ningewapiga madole tu ya makalioni upesi wakome..... Teh teh teh
 
Yule naitwa Shaw ni dancer wa Kiba maana angekua kwa Dai angejidai sn.... Yule mrembo tu.... Mwanaume lazima uwe ngangari.... Shikamooooooo Hector


Unaona sasa ulivyo mzito kuelewa. Yani Mimi km ningekua ndio striker wa Chelsea hao mabeki wa gunners ningewapiga madole tu ya makalioni upesi wakome..... Teh teh teh
ile ajali kazini tu.
 
Yule naitwa Shaw ni dancer wa Kiba maana angekua kwa Dai angejidai sn.... Yule mrembo tu.... Mwanaume lazima uwe ngangari.... Shikamooooooo Hector


Unaona sasa ulivyo mzito kuelewa. Yani Mimi km ningekua ndio striker wa Chelsea hao mabeki wa gunners ningewapiga madole tu ya makalioni upesi wakome..... Teh teh teh

mashabiki wa chelsea na wachezaji wao akili zinafanana ona sasa
 
Km ya Diego Mwana wa Costa.......
Ngoja nisubiri majibu yako......yerewiiii
yule anafanya kusudi sana. anajifanya mtemi sana. angekuwepo enzi za vidic na rio mbona angeshika adabu
 
mashabiki wa chelsea na wachezaji wao akili zinafanana ona sasa

Hahahahaaaa umeona? Yani wewe ndio bure kabisa hujui mpira kabisa. Hizo ni mbinu nzuri sn na zinafanya kz km vile Gabriel alivyoingia kichwa kichwa yeye ndo akala Red.
 
Hahahahaaaa umeona? Yani wewe ndio bure kabisa hujui mpira kabisa. Hizo ni mbinu nzuri sn na zinafanya kz km vile Gabriel alivyoingia kichwa kichwa yeye ndo akala Red.
itafika zamu yenu mtafanyiwa hivi hivi na mtalalamika pia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom