BelindaJacob said:Masa wa Nilo
Hongereni kwa ushindi wa j5, mmewaongezea stress ze Chelsick!..
![]()
Don't tell me I didn't warn you!
Currently Active Users Viewing This Thread: 7 (2 members and 5 guests)
Sanda Matuta,Peasant,Masanilo,Mvina,ELNINO,AljuniorTz,Invisible,Pape,Ab-Tichaz
Hongereni kwa ushindi wakuu🙂🙂🙂
.......he, leo huu mtaa mbona kimyaaaaaaaaa?
Where is Mvina, Robot, Peasant, Masa boy, AB-Mwalimu (aka mzee wa mapicha),Aljuniorbongo, Sanda penalty......!
Mzee wa mipicha....please do the needful, nizi ni game tu mkuu show up please! Jipangeni upya wazee kutleza sio kunguka......!
LOL nimepotea njia nataka kwenda kutoa pole Stamford Bridge kuna msiba mkubwa sana na Abram o vich yuko taaban bin mahututi. Acheni lote alikula kibao kutoka kwa mtoto mtundu wa Ever Sa ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa. Mafioso walichelewa kutoa fweza wakifikiria watabebwa kama kawaida yaao. khe khe khe khe
Tumia ID moja wewe mbuzi uliyemuuma Mbwa!
Matusi ya nini, msubiri kalenjin bado Mungiki wanamshikilia.
Bwabwa1 na Bwabwa why kijana!
Nimesahau sahihi moja hivyo sio kosa kutumia nyingine karibu sana. BTW matanga haya mtamaliza lini? The special one anawasubiri?
Everton piga Chelsick 2 kavu kavu
poleni wafiwa
Sahihi Bwabwa acha hizo
hahahahah.......he, leo huu mtaa mbona kimyaaaaaaaaa?
Mbuzi akimuuma Mbwa huwa ni mkosi, we are still on top of the list.....
.......he!he!he!he!eeee...njia yenu si nyeupe kivile......mko na Man U, Looser fools.....hapa lazima huyo mbuzi awa-doooooooo!
Teh teh teh teh teh we got 6 pts and 5 goals from Fat Arse, who else can stand that?
Leo utajijua mwenyewe naona unapata taabu sana maana wenzako wote wanaona aibu wanachungulia tu na kunywa maji.
Teh teh teh teh teh we got 6 pts and 5 goals from Fat Arse, who else can stand that?