Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hahahaha! Kawaida, ndio mpira....ahsante. Ukisema Saha angefunga penalty maana yake kunakuwa hakuna umuhimu wa kipa, hayo ni matukio ya mpira kama amabavyo refa amwemwachia Fabreagas aliponawa mpira waziwazi.

Kama kawaida yako,kila tukishinda lazima uje na malalmiko kwa marefa🙂🙂...Halafu kwa nini huwa unakuwa mzito japo kusema hongereni Arsenal kwa ushindi!!!!
 
Hahahaha! Kawaida, ndio mpira....ahsante. Ukisema Saha angefunga penalty maana yake kunakuwa hakuna umuhimu wa kipa, hayo ni matukio ya mpira kama amabavyo refa amwemwachia Fabreagas aliponawa mpira waziwazi.

...pole sana kaka! Mpira duara bana...'huwezi jua kesho utamdundia nani!'..
 
Kama kawaida yako,kila tukishinda lazima uje na malalmiko kwa marefa🙂🙂...Halafu kwa nini huwa unakuwa mzito japo kusema hongereni Arsenal kwa ushindi!!!!

aha ha haaa...😀
"Heri mimi sijasema!"

Pheewwww, hebu nasi tupumue kidogo bana, duuuh!
 
_47278285_008712403-1.jpg

Fungueni fridge leteni ice cubes naona teachers imejaa tele hapa khe khe khe khe Vipi Kalenjin ataweka picha saa ngapi?
 
Kama kawaida yako,kila tukishinda lazima uje na malalmiko kwa marefa🙂🙂...Halafu kwa nini huwa unakuwa mzito japo kusema hongereni Arsenal kwa ushindi!!!!
Acha hizo mkuu, rudi kwenye post ya kwanza kabisa kama hujasoma nimetoa hongera zenu kule au unataka nirudie x2? Ok HONGERENI SANA wakuu kwa ushindi.
Hapo kwa Fabreagas nilikuwa namjibu Babu Kubwa maana ndio alikuwa analeta history.
 
Huyu Saha mtundu sana aliwapa moyo kwenye penalty lakini akaja kuwazibua kiroho mbaya, alikuwa hataki goli la matuta.
 
Acha hizo mkuu, rudi kwenye post ya kwanza kabisa kama hujasoma nimetoa hongera zenu kule au unataka nirudie x2? Ok HONGERENI SANA wakuu kwa ushindi.
Hapo kwa Fabreagas nilikuwa namjibu Babu Kubwa maana ndio alikuwa analeta history.

Nimekusoma jirani...Pamoja
 
c12_Louis_Saha_sees_984611a.jpg


Check-mate upo hapo au umesingiziwa?


KING LOUIS ... goal hero Saha sees his leveller fly in



 
Super Saha shocks Chelsea

Man of the Match: Louis Saha. You can't argue with the Frenchman's two goals, both of which well taken, and Saha's lively play gave John Terry fits all night.

Goal of the Match: Saha's second was sublime. He cushioned a long ball beautifully with his chest before smashing his finish past Petr Cech.

Save of the Match: Saha could have had a hat-trick but Cech thwarted him from the spot. The striker's penalty was a nice height for him but the goalkeeper guessed right and got across well to make the save.

Talking Point: How will this affect Chelsea's title challenge? The Blues have been in fine form recently but slipped up at a rough venue away from home. Is this a sign of things to come for Chelsea?
 
Tabu ya Zzz Gonaz wakishinda wanaona kuwa mwaka huu adi treble yao, wakifungwa, ona wanavyopondana na kumsiliba Wenger utadhani sio hawa hawa, kudadadeki, kueni na msimamo nyie, msiwe kama ocean tides.
Tehetehe, Ab Tchaz!, Lol...mjomba, salaamu umezipata?, Lol..!, pole mgosiii!
tuache tushangilia kushinda nyie mkishinda mnachonga kwanini tusiongee? tukifungwa mnatuambia hakuna kombe tukishinda hamtaki tuwe na matumaini ya kombe? CHELSEA 2 EVERTON 1
ARSENAL O LIVERPOOL 1
 
Pensioners leo waliishiwa nguvu baada ya kuchoshwa kutoka kwa vijana wa Emirates
 
Tangazo maalum la msiba hapa jukwaani. Ruhksa kuwashambulia Mafioso popote watakapojitokeza.

Khe khe khe habari kutoka Italy zinasema The special one anawsubiri kwa hamu wakati wanaomboleza khe khe khe khe
 
Jamaa leo wanachungulia tu ngebe kwishnei. Nilisema tangu mwanzo mpanda ngazi hushuka leo mmeshushwa chini pwaaaaaaaaaa khe khe khe khe
 
JT-splash_984758a.jpg


Khe khe khe khe khe khe

Chelsick mpo hapoooo aloooooo
 
SAHA_682x400_984748a.jpg

JT hell as king Louis sinks 'em

JOHN TERRY finally showed the strain last night as his blunders gifted Louis Saha two match-winning goals. Chelsea's skipper flies to Dubai today to try to save his marriage.
 
SAHA_682x400_984748a.jpg

JT hell as king Louis sinks 'em

JOHN TERRY finally showed the strain last night as his blunders gifted Louis Saha two match-winning goals. Chelsea's skipper flies to Dubai today to try to save his marriage.
Na akirudi kutoka Dubai anarudi na talaka yake mkononi. Yaani naona ka vile wife wake amezishika talaka mkononi tayari kumsulubu.Kwisha J.Terry
 
Ashley-Cole-Everton-pain_2418360.jpg


Inavyoelekea huyu jamaa ni majeruhi sijui haya matanga yataisha lini khe khe khe khe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom