Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnaolalamika Costa kuachwa. Ipo hivi: unaporetaliate baada ya faulo. Unapewa adhabu kubwa zaidi. Costa kala yellow, ambayo ni halali yake. Red kwake ingekuwa too harsh

Back to topic. Nimegundua John Terry ndio weakest link ya team. Mourinho aendelee kumpa bench tu kama tunataka ukuta wetu urudishe heshima.

Costa alimfanyia Laurent Koscienly rafu mara mbili na kukiwa hakuna mpira so kabla ya kukutana na Gabriel alipaswa kupewa red card bahati yake refa hakuona hizo incident,
Kwa umri wake JT sio wa kucheza kila mechi ni bora awe anacheza game za UEFA kule hamna kasi kama EPL
 

Attachments

  • 1442690654580.jpg
    1442690654580.jpg
    53.9 KB · Views: 96
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom