Abou Saydou
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 2,948
- 2,112
Hahahaaa sasa kwani leo mmefunga?
Hapana Leo tumefungwa cute
Hahahaaa sasa kwani leo mmefunga?
Kocha alipomtoa kichaa wake, Kichaa alionekana kukereka sana.
akili zao zinafanana wale
The end justifies the means cute b
nimesema Kuwa Leo lazima Chelsea ishinde na imeshinda....the sleeping bear is now awake
Sabato imeisha vyema hongera
Msimu huu lazima mbebwe, chelsea ni mbovu! Marefa wakiwa fair, top 4 mtaisikia bbc!
ligi bado mbichi hii tutaonaWangekua machizi wangelitembea uchi au wange kua wodi ya vichaa....
The boring has just begun.
hahahaha tulia wazee wa mbelekoWakaanga sumu wanapokosa la kusema hulopokwa tu
ligi bado mbichi hii tutaona
hahahaha tulia wazee wa mbeleko
kumbe hamshindi mpaka mtoe mpungaToeni na nyie mpunga mbebwe
kaka ile mbeleko lakini
kumbe hamshindi mpaka mtoe mpunga
Ligi bado mbichi uwezo wa kuchukua tena upo...... Man city are losing 2-0
na jumamosi uje kutoa hongera cute bHongereni kwa ushindi WANAUME WA THE BLUUUUUUUUZ. Root hongera sana nazani kilo zimerudi kalou hongera jaman jana nililala mapema ulivyoniambia nilale hamna kigodoro, Mentor hongera mkuu maana umerudi rasmi kwenye hali yako ya kawaida baada ya ushindi, Ntuzu hongera kwa ushindi baba bila shaka hospital washakuruhusu kutokana na hali yako kuwa nzuri ghafla, ENZO hongera sana kwa ushind najiandaa kisaikolojia maana najua utaanza iponda man u rasmi.
Hongereni woteeee.
We keep the blue flag flyng high because Chelsea will never die.
Sasa mbeleko itatoka wapi bila mpunga