Mbeleko pekee yake haiwezi kufanya maajabu
Chelsea mpira upo
Hahahha sisi ndo mabingwa bana. Will be back for match analysis...ngoja nimailizie kupika shemeji/wifi yenu kanisusia kisa yeye Arsenal.
Msimu huu lazima mbebwe, chelsea ni mbovu! Marefa wakiwa fair, top 4 mtaisikia bbc!
na jumamosi uje kutoa hongera cute b
Chelsea ingekuwa mbovu tungeona impact yenu ndani ya dakika 44 mlizokuwa mmetimia. Wacheni wivu ya kike.
Hadi dakika 44 ilikuwa hamna shot on target.
Kushinda tungeshinda tu tena hii ya nyie kubaki wachache imefanya kazi yetu iwe ngumu zaidi maana muda wote wote mlikuwa mabeki...!! Mngekuwa wote 11 magoli si chini ya matano tungewafunga nyie.
Leo hadi Costa kajua kupiga chenga!?? Acheni kulalamika...mlikuwa wabovu!!!!
Hahahha sisi ndo mabingwa bana. Will be back for match analysis...ngoja nimailizie kupika shemeji/wifi yenu kanisusia kisa yeye Arsenal.
Hahahaaa na furaha uliyo nayo hata ukiambiwa upige deki usiku huu huu utapiga
Hahahaaa na furaha uliyo nayo hata ukiambiwa upige deki usiku huu huu utapiga
Hahahha sisi ndo mabingwa bana. Will be back for match analysis...ngoja nimailizie kupika shemeji/wifi yenu kanisusia kisa yeye Arsenal.
9/12..................
Uwiiiii!!!! Ushindi wa dhuluma wa kubebwa na mbeleko la Chuma !!!!
Hujalala tu maana kesho mna mlima mkubwa wa kupanda
Wakaanga sumu wanapokosa la kusema hulopokwa tu
Kafie mbele wewe
Uko pande yangu au uko pande ipi?
Kubebwa kuzuri mamito
Mkuu nisamehe tu leo nimewadharau sana na litimu lenu ni la upuuzi mtupu
Hata mimi leo siwapi hongera kabisa.....lol
Leo furaha niliyo nayo Leo nakunya kitandani 😂😂😂😂😂😂