Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hapo vipi!
 

Attachments

  • 1442464137371.jpg
    1442464137371.jpg
    45.4 KB · Views: 73
leo ze bluuzz ina uwezo wa kushinda. Lakini ingekuwa vyema usema ze bluuzz inacheza na nani? Hiyo timu pinzani ina nafasi gani katika soka ya dunia hii?

hata wangecheza na mwadui fc. Muhimu n ushndi na umepatkana. Hao n mabingwa wa lig kuu ya israel kama ilivyo the bluuz kwa epl.
 
Kama unaelewa hali ya umeme ya jiji hili huwezi sema tulikimbia...halafu ni lini wakati wa mechi yetu nilikuwa natoa updates? Mimi huja kabla na baada ya mechi!!!

Mcharo wangu bana kwa kuruka vihunzi sikuwezi aiseee!!!
 
Hongereni kwa ushindi WANAUME WA THE BLUUUUUUUUZ. Root hongera sana nazani kilo zimerudi kalou hongera jaman jana nililala mapema ulivyoniambia nilale hamna kigodoro, Mentor hongera mkuu maana umerudi rasmi kwenye hali yako ya kawaida baada ya ushindi, Ntuzu hongera kwa ushindi baba bila shaka hospital washakuruhusu kutokana na hali yako kuwa nzuri ghafla, ENZO hongera sana kwa ushind najiandaa kisaikolojia maana najua utaanza iponda man u rasmi.
Hongereni woteeee.
We keep the blue flag flyng high because Chelsea will never die.
 

Attachments

  • 1442468705921.jpg
    1442468705921.jpg
    21.4 KB · Views: 66
Last edited by a moderator:
Wewe utamuokota nani?
Huwezi kuokota huku ukiwa umelala ni lazima uwe unatembea,Chelsea 3 points 4 goals hayo maneno ysliyobaki mnajipoza tu na machungu yaliyochanganyika na Wivu....CHELSEA FOREVER

Ntamuokota Mentor..............sawa CleverKING nimekuelewa ........
 
Last edited by a moderator:
With only Chelsea winning,This is the worst start to a Champions league season by Premier League clubs........Congratulation Chelsea!!!!
 

Attachments

  • 1442475204790.jpg
    1442475204790.jpg
    35.5 KB · Views: 57
Chelsea is back in action...

"Without the ball, you could see the team was much more aggressive, much stronger, the lines closer together and a much better reaction when the team lost the ball to try to recover immediately; to try to force the mistake from the opponent rather than wait for the mistake."
 
Chelsea is back in action...

"Without the ball, you could see the team was much more aggressive, much stronger, the lines closer together and a much better reaction when the team lost the ball to try to recover immediately; to try to force the mistake from the opponent rather than wait for the mistake."
FUSOoooooooo asante kwa kipande hiyo ya maneno matamu ya happy one..... Thx a lot Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hahahha wine yangu imeisha halafu watu wenyewe wagumu hamtaki hata kununua nyingine........

Hujasema atiiii..... Wataka bland ipi? Nikupe katoni sasaivi fastaaaaaa.

Bring back my avatar please........
 
With only Chelsea winning,This is the worst start to a Champions league season by Premier League clubs........Congratulation Chelsea!!!!

Asante sn Jf sportlady kwa kuliona hilo na kwa pongezi zako.....
 
Hujasema atiiii..... Wataka bland ipi? Nikupe katoni sasaivi fastaaaaaa.

Bring back my avatar please........

Hahahaha nilikuambia ukauchuna,sasa kuna mwenzako Mmoja kaipenda sasa nimsikilize nani na ameshailipia kama USD 50M, cute b nisaidieee.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha nilikuambia ukauchuna,sasa kuna mwenzako Mmoja kaipenda sasa nimsikilize nani na ameshailipia kama USD 50M, cute b nisaidieee.....

Hiyo kidogo mrudishie aiseeeeee...... Njoo uchukue kwangu USD billions 90... Hiyo inamzidi ata Yule muzeee ya Microsoft na ile Donald Trumph
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom