Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Naona ktk thread ya timu bora the blues watu hawaishi kupita........nafurahi sn kuona watu wako pamoja na sisi..

Binafsi sishangai sn kwa Timu kupata matokeo km hayo kwao Everton.....

Tangu Mourinho arudi darajani kwa Mara ya pili ameshinda Mara moja tu ktk hicho kiwanja.

Ktk vitu ambavyo havinisumbua kua kuna baadhi ya viwanja wakiiona Chelsea imetua kwao basi wako radhi kucheza na kufia uwanjani kikiwepo na kiwanja cha hawa Everton. Kwahiyo ukiwa unayajua haya wala hayakusumbui.

Ninachofurahi tumepoteza ikiwa ni September... Lkn km tungepoteza ikiwa mwezi wa 4 basi nisingekua na amani....

Msimu uliopita tulikua mabingwa huku tukiwa tumepoteza game 3 hivi km sikosei....na kupata sare nyingi tu na bado tuka mabingwa. Naamini kwamba timu zingine zitapoteza Zaidi ya game 3 na kupata sare nyingi na hii litaanza kwa Arsenal tarehe 19 atapoteza mchezo wake wa pili....

Bado tuna uwezo wa kua mabingwa wa epl na huwezi kuitoa Chelsea ktk mbio za kuwania ubingwa.... Huko kutakua ni kuota mchana kweupe.


You remind me of COMICAL ALI......!
 
Hahahahaaa

Hii sio Iraq Mkuu.....

Mzima lkn Mkuu?


Khe khe khe khe khe.....yule COMICAL ALI nchi inakula kichapo yeye anashinda kwenye press conference na kudanganya umma 'tumewachinja wamarekani'.....mwisho wa siku akapotea!!
 
Niliumia kwa mengi;

1. Tangu nilipoona kikosi nilijua hatushindi mechi

2. Nilienda kuangalia mechi na shemeji yako.

3. Ili kunisapoti (ingawa yeye ni Arsenal) alivaa jezi yangu ya Chelsea

4. Mbaya zaidi kwa kuwa ilikuwa J'mosi jioni nguo zangu nyingine (zikiweno jezi nyingine za Chelsea) nilikuwa nimezifua hivyo mimi nilivaa kawaida tu

5. Ushawahi kuaibishwa mbele ya demu wako wewe???

Acha bana Nonda acha bana...inauma we acha tu...for the first time nilitoka kama naenda chooni kumbe naenda kujifuta machozi. Watu wote wanamcheka yeye yani...dah! acha tu... RRONDO herrera Belo everlenk cute b acheni kututania bana...ya juzi mi iliniuma! Mbona ya Man city sikuwaomba mnyamaze..hii tu potezeeni iishe!

6. Tulikuwa tumekubaliana weekend ijayo mimi nivae jezi yake ya Arsenal yeye avae yangu. Baada ya game ya juzi eti akakataa...eti hataki kuaibika tena....do you understand what am saying guys!???? tuacheni kwa hili..yani sina raha kabisa yani...!

Halafu unauliza kwa nini niliumia Nonda???!

Uwiiii!!!! Pole sana Mcharo wangu siku nyingine usiniache EPL huwa inaangaliwa na appetizers wa nje si big house umeskia ?........
 
Last edited by a moderator:
ligi yenyewe ndio kwanza game ya 5 lakini mnapiga keleee!' utasema tumeshuka daraja ........... kweli chelsea tunaogopeka!' liva wamefungwa na vibabu vya kina cute b lakini hamjaona ajabu, watu wamefungwa goli la video(goli la benteke) bado hamliongelei, mdada everlenk embu waambie goli la benteke lilivyokua tamuu!

Vibabu? Hahahaaaaa
 
Last edited by a moderator:
ligi yenyewe ndio kwanza game ya 5 lakini mnapiga keleee!' utasema tumeshuka daraja ........... kweli chelsea tunaogopeka!' liva wamefungwa na vibabu vya kina cute b lakini hamjaona ajabu, watu wamefungwa goli la video(goli la benteke) bado hamliongelei, mdada everlenk embu waambie goli la benteke lilivyokua tamuu!

Wewe mtoto nimekusamehe bure shukuru Mungu kaka yako yuko humu.....
 
Last edited by a moderator:
Kiukweli inauma sana kufungwa.... Mo alikosea na huwa anakosea kukosana na wachezaji na maofisa wengine
 
Kiukweli inauma sana kufungwa.... Mo alikosea na huwa anakosea kukosana na wachezaji na maofisa wengine

kila kitu kina sababu kufungwa kwetu mwanzo wa msimu siyo mbaya,tutajua tulipokosea,mou alishasema hiki ni kipindi ambacho maadui wengi wamefurahi kuona anafungwa,ila kuanzia kesho wakaanga sumu mjiandae kukimbia jukwaa
 
2C5689B200000578-3235155-image-a-74_1442317531813.jpg


'Yes I am going to make a couple of changes because I have to try a different dynamic. I have to give chances to people who are not playing.
'I know the consequence of that, if I make a couple of changes, it is because I want to give chances to people.

'I know that you will say: if I leave out Azpilicueta it a problem with Azpilicueta, if I leave out John Terry it is the same with John Terry, or if I leave out Cesc Fabregas it is the same with Cesc Fabregas.
'I have a squad, I trust the squad, the market is closed so we cannot replace players we lose trust in. I like my squad, I trust them. I don't have ten players I don't have to play the same ten or 11, and I can make changes.'




 
2C5682BC00000578-3235155-image-a-75_1442317700562.jpg


'I am the current champion of England - why should I be in trouble?'





 
Tusubiri Jmosi tuone Sanchez atakavyompeleka puta kijibabu Ivanovic mtoa magoli wenu mkubwa

nakupga si chini ya magoli 3, weka buku niweke laki. Arse88 nawajua kabisa wataingia wakijua hawa ni wabovu!' soo watafunguka!' hapo ndio watakua mmebugi ..............
 
Mourinho: “Our start has been bad but
nobody can steal our history" You're
right. Nobody can steal it because you
don't have any history
 
Mourinho: "Our start has been bad but
nobody can steal our history" You're
right. Nobody can steal it because you
don't have any history

Hahaha Roman Abramovich has a greater history than entire Chelsea FC existence.
 
nakupga si chini ya magoli 3, weka buku niweke laki. Arse88 nawajua kabisa wataingia wakijua hawa ni wabovu!' soo watafunguka!' hapo ndio watakua mmebugi ..............

Inaweza kuwa mechi ya mwisho ya Jose Mourinho. Community Shield mlisema hivyo hivyo hadi tulipowakarisha mkabadili muziki.
 
Inaweza kuwa mechi ya mwisho ya Jose Mourinho. Community Shield mlisema hivyo hivyo hadi tulipowakarisha mkabadili muziki.

kwa hiyo yale mazoezi ya kujipa fitness ndio kwenu yalikua kama final ya UEFA umefurahi mpaka leo hahahaha...............
 
2C5682BC00000578-3235155-image-a-75_1442317700562.jpg


'I am the current champion of England - why should I be in trouble?'






Jose Mourinho: Chelsea manager tells reporter to 'Google answers'


Chelsea boss Jose Mourinho has rejected being affected by 'third season syndrome' and told a BBC reporter to "Google answers to stupid questions".
The Premier League champions are 17th in the table after losing three of their opening five games of the season.
Asked if he still has the qualities of a great manager, Mourinho replied: "The point is that the question is stupid. I am sorry."
Link BBC Sport - Jose Mourinho: Chelsea manager tells reporter to 'Google answers'
 
Afukuzwe aende wapi wakati karudi nyumbani
Je umesha-google na kujionea menyewe kuwa Mou hana ujasiri wa kuifundisha timu kwa miaka 5, 6, 7, 8, 9?

Mou anapita njia tu, miaka 2, 3 anapotea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom