RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,890
- 129,941
Naona ktk thread ya timu bora the blues watu hawaishi kupita........nafurahi sn kuona watu wako pamoja na sisi..
Binafsi sishangai sn kwa Timu kupata matokeo km hayo kwao Everton.....
Tangu Mourinho arudi darajani kwa Mara ya pili ameshinda Mara moja tu ktk hicho kiwanja.
Ktk vitu ambavyo havinisumbua kua kuna baadhi ya viwanja wakiiona Chelsea imetua kwao basi wako radhi kucheza na kufia uwanjani kikiwepo na kiwanja cha hawa Everton. Kwahiyo ukiwa unayajua haya wala hayakusumbui.
Ninachofurahi tumepoteza ikiwa ni September... Lkn km tungepoteza ikiwa mwezi wa 4 basi nisingekua na amani....
Msimu uliopita tulikua mabingwa huku tukiwa tumepoteza game 3 hivi km sikosei....na kupata sare nyingi tu na bado tuka mabingwa. Naamini kwamba timu zingine zitapoteza Zaidi ya game 3 na kupata sare nyingi na hii litaanza kwa Arsenal tarehe 19 atapoteza mchezo wake wa pili....
Bado tuna uwezo wa kua mabingwa wa epl na huwezi kuitoa Chelsea ktk mbio za kuwania ubingwa.... Huko kutakua ni kuota mchana kweupe.
You remind me of COMICAL ALI......!