Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hii Maccabi Tel Aviv nimeaona haina tofauti Stand United (ya Shy)
 
oscar8 kwangu ndio alikua man of the match ............
 
oscar8 kwangu ndio alikua man of the match ............
Hii unaiita match? Mlicheza na timu ipi?
Makapi wavivu?

Leo mliletewa vibonde mfanye karamu.

Kalou pia ametoka mafichoni.

Ntuzu Leta mauchambuzi basi.
 
Wooooiiii!!!! Mlikimbia hata kuleta mrejesho humu sasahivi ndo mnakuja na maneno meengiii!!!!

Kama unaelewa hali ya umeme ya jiji hili huwezi sema tulikimbia...halafu ni lini wakati wa mechi yetu nilikuwa natoa updates? Mimi huja kabla na baada ya mechi!!!
 
79' Fabregas 4-0 leo mmewaokota kweli hawa waisrael ,Hongereni sana


Wewe utamuokota nani?
Huwezi kuokota huku ukiwa umelala ni lazima uwe unatembea,Chelsea 3 points 4 goals hayo maneno ysliyobaki mnajipoza tu na machungu yaliyochanganyika na Wivu....CHELSEA FOREVER
 
SINA HAJA YA KUANGALIA mech mbovu ya chelsea leo maana matokeo nishayajua.. CHELSEA O MACCABI 6... aibu nyingne kwa mourinho.. leo mourinho na ivanovic(wowowo) wanapigwa red card...


Wewe naona Nyuki wamekuzidishia Dozi mpaka umechanganyikiwa!! Jaribu kutumia Maziwa ili kupunguza Sumu mwilini....halafu rudi hapa unipe matokeo ya Chelsea vs Maccabi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom