Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea (4-2-3-1): Begovic; Ivanovic, Zouma, Terry (c), Azpilicueta; Mikel, Matic; Pedro , Fabregas, Hazard; Costa

The moment nilipoona hicho kikosi nilijua tu hii mechi hatushindi. Psychologically ukimpanga Zouma na Mikel kwenye mechi kuna mawili; unawaogopa opponents wako au hiyo mechi mnatafuta draw. Kwa mechi ya juzi sikuona sababu yoyote kati ya hizo mbili.

Kumweka pedro acheze kulia ni pigo kubwa kwa Ivanovic. Ivanovic ataonekana defender mzuri pale tu ambapo Willian ama Raires watacheza wing ya kulia. Kwa sababu wana speed ya kupanda na kushuka kwa hiyo hata pale anapojisahau na kujikuta mbele ni rahisi sana wao kushuka kuja kumsaidia. Kwangu mimi Pedro anafaa kucheza kati, namba 10 nyuma ya striker.

Ningetegemea kwa mechi kama ya juzi (kwa experience ya games tulizocheza na Everton) angwaweka Ramires na Willian wote ndani. Kisha angemrudisha Cahill kati. Zouma ndiyo ana tackles nzuri ila hana akili ya mpira. Mimi bado naamini ile defence iliyoshinda msimu uliopita inafaa kushinda na msimu huu.

kwangu mimi kwa game ya everton angepanga hivi ningejua ushindi tangu mwanzoni: (4-3-3) Begovic; Ivanovic, Cahill, Terry (C), Azpilicueta, Matic, Fabregas, Ramires; Hazard, Willian, Costa. Hakuna namna hicho kikosi kingefungwa na Everton.

Baadaye ndo uje umueke Pedro (sub: Ramires).

Kingine kinachoniumiza moyo ni Remy....kwa nini Mou hamtumii huyu kijana. For a fact, anajituma mno. It is time awe striker number 2 badala ya Falcao!!!

La mwisho nahisi kama kuna shida baada ya Eva Caneiro kuondoshwa kimajungu na Mou. Staff hawaongei na Mou kama zamani na kuna kitu tu unahisi kama mgomo baridi hivi wa wachezaji...sijui, ila ile laana ya Eva inatugharimu!


All in all, we lost...majuto ni mjukuu! Looking forward to Wednesday....

#vivaChelsea #we-will-be-back #stillChampions #ktbffh


 
Chelsea (4-2-3-1): Begovic; Ivanovic, Zouma, Terry (c), Azpilicueta; Mikel, Matic; Pedro , Fabregas, Hazard; Costa

The moment nilipoona hicho kikosi nilijua tu hii mechi hatushindi. Psychologically ukimpanga Zouma na Mikel kwenye mechi kuna mawili; unawaogopa opponents wako au hiyo mechi mnatafuta draw. Kwa mechi ya juzi sikuona sababu yoyote kati ya hizo mbili.

Kumweka pedro acheze kulia ni pigo kubwa kwa Ivanovic. Ivanovic ataonekana defender mzuri pale tu ambapo Willian ama Raires watacheza wing ya kulia. Kwa sababu wana speed ya kupanda na kushuka kwa hiyo hata pale anapojisahau na kujikuta mbele ni rahisi sana wao kushuka kuja kumsaidia. Kwangu mimi Pedro anafaa kucheza kati, namba 10 nyuma ya striker.

Ningetegemea kwa mechi kama ya juzi (kwa experience ya games tulizocheza na Everton) angwaweka Ramires na Willian wote ndani. Kisha angemrudisha Cahill kati. Zouma ndiyo ana tackles nzuri ila hana akili ya mpira. Mimi bado naamini ile defence iliyoshinda msimu uliopita inafaa kushinda na msimu huu.

kwangu mimi kwa game ya everton angepanga hivi ningejua ushindi tangu mwanzoni: (4-3-3) Begovic; Ivanovic, Cahill, Terry (C), Azpilicueta, Matic, Fabregas, Ramires; Hazard, Willian, Costa. Hakuna namna hicho kikosi kingefungwa na Everton.

Baadaye ndo uje umueke Pedro (sub: Ramires).

Kingine kinachoniumiza moyo ni Remy....kwa nini Mou hamtumii huyu kijana. For a fact, anajituma mno. It is time awe striker number 2 badala ya Falcao!!!

La mwisho nahisi kama kuna shida baada ya Eva Caneiro kuondoshwa kimajungu na Mou. Staff hawaongei na Mou kama zamani na kuna kitu tu unahisi kama mgomo baridi hivi wa wachezaji...sijui, ila ile laana ya Eva inatugharimu!


All in all, we lost...majuto ni mjukuu! Looking forward to Wednesday....

#vivaChelsea #we-will-be-back #stillChampions #ktbffh



Wewe na Ntuzu ndio mashabiki wa kweli wa hii timu, wengine wanakuja kwa matukio tu, kuna mtu alikua anajiita ENZO sijui kapotelea wapi masikini😀
Kabla ya ligi alikua anatusumbua sana kule kwetu naomba fuatilieni maendeleo yake asije akawa karudi kwenye timu yake ya mwanzo aliyokua anashabikia kabla ya kuja abromovic chelsea
 
Last edited by a moderator:
2C381EF800000578-3231833-image-a-130_1442061271543.jpg


Kidogo nimsahau na huyu Begovic...baada ya Matic, yeye pia alijitahidi sana kucheza nafasi yake!
 
Kitu kingine nilichogundua;

Katika wachezaji wote tulionunua msimu huu. Hakuna mchezaji yeyote wa kumweka benchi mchezaji wetu aliyekuwa kikosi cha kwanza msimu uliopita.

Hapo labda...LABDA..Pedro tu ndo the only positive buy kwa msimu huu.

Kwangu ingekuwa afadhali Mourinho kuwaacha Loftus-Cheek na Ake badala ya kuwanua hao watoto alionunua!

 
Wewe na Ntuzu ndio mashabiki wa kweli wa hii timu, wengine wanakuja kwa matukio tu, kuna mtu alikua anajiita ENZO sijui kapotelea wapi masikini😀
Kabla ya ligi alikua anatusumbua sana kule kwetu naomba fuatilieni maendeleo yake asije akawa karudi kwenye timu yake ya mwanzo aliyokua anashabikia kabla ya kuja abromovic chelsea

Labda ana-apply hii theory yako, "nitakupenda tukiwa wote tu, ukitoka kidogo mi sio wako"
 
CHILD:- mum where is my food?
MUM:- its at where chelsea is.
CHILD:- you mean at the bottom of the table?
MUM:- you are a brilliant boy.
 
Despite kinachoendelea ambacho kinawafanya wengi wamuone Mou kama kocha mbaya...mimi bado naamini tukiwa na Mou tunakuwa timu inayotisha zaidi ya tukiwa na kocha mwingine yeyote yule.

Nahisi kutaka trasition from defence-based team to attack-minded team kwa haraka ndo kunapelekea hizi results. Turudi kwanza kwenye defence huku akisuka kikosi (kununua) kwa kuanzia nyuma. Am sure bado tunayo nafasi ya kutetea kikombe chetu.

All in all maneno haya ya Mou yananipa matumaini sana;

2C2E86F000000578-0-image-a-1_1441998986149.jpg


"
'I don't want to leave the club in any circumstances,' said the Chelsea manager. 'And the club doesn't want me to leave. I'm not going to walk away. The club is not going to sack me. We have one problem. We are not getting the results we always expect to get. I'm not happy losing matches and I'm happy that I'm not happy. Chelsea fans know it is not in my profile to run from problems.

'When I was here in 2007, I had two things in my mind: go to Spain and go to Italy. Today, I have been in Spain and in Italy and I don't want to go back. I want to stay here. That's enough. That makes a difference."
 
Yule Kalou ameenda wapi? Alisema aachwe apumue lakini Everton waliweka pamba masikioni.

Na Ntuzu nae amekimbilia wapi?

Mentor , Kwa nini umeumia sana? Nini kimekuumiza?

Niliumia kwa mengi;

1. Tangu nilipoona kikosi nilijua hatushindi mechi

2. Nilienda kuangalia mechi na shemeji yako.

3. Ili kunisapoti (ingawa yeye ni Arsenal) alivaa jezi yangu ya Chelsea

4. Mbaya zaidi kwa kuwa ilikuwa J'mosi jioni nguo zangu nyingine (zikiweno jezi nyingine za Chelsea) nilikuwa nimezifua hivyo mimi nilivaa kawaida tu

5. Ushawahi kuaibishwa mbele ya demu wako wewe???

Acha bana Nonda acha bana...inauma we acha tu...for the first time nilitoka kama naenda chooni kumbe naenda kujifuta machozi. Watu wote wanamcheka yeye yani...dah! acha tu... RRONDO herrera Belo everlenk cute b acheni kututania bana...ya juzi mi iliniuma! Mbona ya Man city sikuwaomba mnyamaze..hii tu potezeeni iishe!

6. Tulikuwa tumekubaliana weekend ijayo mimi nivae jezi yake ya Arsenal yeye avae yangu. Baada ya game ya juzi eti akakataa...eti hataki kuaibika tena....do you understand what am saying guys!???? tuacheni kwa hili..yani sina raha kabisa yani...!

Halafu unauliza kwa nini niliumia Nonda???!
 
Last edited by a moderator:
Niliumia kwa mengi;

1. Tangu nilipoona kikosi nilijua hatushindi mechi

2. Nilienda kuangalia mechi na shemeji yako.

3. Ili kunisapoti (ingawa yeye ni Arsenal) alivaa jezi yangu ya Chelsea

4. Mbaya zaidi kwa kuwa ilikuwa J'mosi jioni nguo zangu nyingine (zikiweno jezi nyingine za Chelsea) nilikuwa nimezifua hivyo mimi nilivaa kawaida tu

5. Ushawahi kuaibishwa mbele ya demu wako wewe???

Acha bana Nonda acha bana...inauma we acha tu...for the first time nilitoka kama naenda chooni kumbe naenda kujifuta machozi. Watu wote wanamcheka yeye yani...dah! acha tu... RRONDO herrera Belo everlenk cute b acheni kututania bana...ya juzi mi iliniuma! Mbona ya Man city sikuwaomba mnyamaze..hii tu potezeeni iishe!

6. Tulikuwa tumekubaliana weekend ijayo mimi nivae jezi yake ya Arsenal yeye avae yangu. Baada ya game ya juzi eti akakataa...eti hataki kuaibika tena....do you understand what am saying guys!???? tuacheni kwa hili..yani sina raha kabisa yani...!

Halafu unauliza kwa nini niliumia Nonda???!
EPL bhana hadi raha kipindi unanuna wenzako wanacheka...ukinuna wenzie wanacheka .....Siajabu Chelsea mkawa timu nyanya katika zile timu kubwa msimu tofauti ilivyotarajiwa.....mjitayarishe kwa hilo........
 
Last edited by a moderator:
Niliumia kwa mengi;

1. Tangu nilipoona kikosi nilijua hatushindi mechi

2. Nilienda kuangalia mechi na shemeji yako.

3. Ili kunisapoti (ingawa yeye ni Arsenal) alivaa jezi yangu ya Chelsea

4. Mbaya zaidi kwa kuwa ilikuwa J'mosi jioni nguo zangu nyingine (zikiweno jezi nyingine za Chelsea) nilikuwa nimezifua hivyo mimi nilivaa kawaida tu

5. Ushawahi kuaibishwa mbele ya demu wako wewe???

Acha bana Nonda acha bana...inauma we acha tu...for the first time nilitoka kama naenda chooni kumbe naenda kujifuta machozi. Watu wote wanamcheka yeye yani...dah! acha tu... RRONDO herrera Belo everlenk cute b acheni kututania bana...ya juzi mi iliniuma! Mbona ya Man city sikuwaomba mnyamaze..hii tu potezeeni iishe!

6. Tulikuwa tumekubaliana weekend ijayo mimi nivae jezi yake ya Arsenal yeye avae yangu. Baada ya game ya juzi eti akakataa...eti hataki kuaibika tena....do you understand what am saying guys!???? tuacheni kwa hili..yani sina raha kabisa yani...!

Halafu unauliza kwa nini niliumia Nonda???!

Dah, pole sana mkuu kweli nimeamini umeumia, ila hyo ya kwenda kuangalia mpira na shemeji pembeni hata mi ilisha nitokea kwenye game na Swansea ile ya ufunguzi msimu uliopita, toka siku ile nilikoma hata tukienda wote tunakaa siti tofauti
 
Last edited by a moderator:
Niliumia kwa mengi;

1. Tangu nilipoona kikosi nilijua hatushindi mechi

2. Nilienda kuangalia mechi na shemeji yako.

3. Ili kunisapoti (ingawa yeye ni Arsenal) alivaa jezi yangu ya Chelsea

4. Mbaya zaidi kwa kuwa ilikuwa J'mosi jioni nguo zangu nyingine (zikiweno jezi nyingine za Chelsea) nilikuwa nimezifua hivyo mimi nilivaa kawaida tu

5. Ushawahi kuaibishwa mbele ya demu wako wewe???

Acha bana Nonda acha bana...inauma we acha tu...for the first time nilitoka kama naenda chooni kumbe naenda kujifuta machozi. Watu wote wanamcheka yeye yani...dah! acha tu... RRONDO herrera Belo everlenk cute b acheni kututania bana...ya juzi mi iliniuma! Mbona ya Man city sikuwaomba mnyamaze..hii tu potezeeni iishe!

6. Tulikuwa tumekubaliana weekend ijayo mimi nivae jezi yake ya Arsenal yeye avae yangu. Baada ya game ya juzi eti akakataa...eti hataki kuaibika tena....do you understand what am saying guys!???? tuacheni kwa hili..yani sina raha kabisa yani...!

Halafu unauliza kwa nini niliumia Nonda???!


Huo ndio mpira! Una ups na downs!
Ipo siku utacheka!
 
Last edited by a moderator:
Dah, pole sana mkuu kweli nimeamini umeumia, ila hyo ya kwenda kuangalia mpira na shemeji pembeni hata mi ilisha nitokea kwenye game na Swansea ile ya ufunguzi msimu uliopita, toka siku ile nilikoma hata tukienda wote tunakaa siti tofauti

Daah kuangalia mpira na demu wangu ni mpaka niwe nina uhakika tutashnda ili kila tukifunga ananihug
 
Germany atafundisha timu gani na yeye anataks timu zenye majina na mfuko wa uwepo
Bayern Munich.Pep naye yupo matatani kwa miaka 2 sasa . Bayern wanataka UCL kitu ambacho kashindwa kuwaletea vile vile mkataba wake upo katika mwaka wa mwisho (kama sikosei) akishindwa kuwaletea UCL ndio itakuwa imetoka.
 
Dah, pole sana mkuu kweli nimeamini umeumia, ila hyo ya kwenda kuangalia mpira na shemeji pembeni hata mi ilisha nitokea kwenye game na Swansea ile ya ufunguzi msimu uliopita, toka siku ile nilikoma hata tukienda wote tunakaa siti tofauti

Kaka herrera mbona hiyo sasa ngumu kumeza! seat tofauti kabisa!??? labda uniambie siku nikienda naye tusivae jezi kabisa..tuwe kama tulienda tu pale for starehe!

Huo ndio mpira! Una ups na downs!
Ipo siku utacheka!

.swadakta.

Daah kuangalia mpira na demu wangu ni mpaka niwe nina uhakika tutashnda ili kila tukifunga ananihug

.mh! ni mechi gani kwenye ligi hii utakuwa na uhakika wa kushinda!??? Hukuona ya jana ya Leicester na Aston villa? Kwa mantiki hiyo nisiwe naenda naye kabisa!.
 
Last edited by a moderator:
Niliumia kwa mengi;

1. Tangu nilipoona kikosi nilijua hatushindi mechi

2. Nilienda kuangalia mechi na shemeji yako.

3. Ili kunisapoti (ingawa yeye ni Arsenal) alivaa jezi yangu ya Chelsea

4. Mbaya zaidi kwa kuwa ilikuwa J'mosi jioni nguo zangu nyingine (zikiweno jezi nyingine za Chelsea) nilikuwa nimezifua hivyo mimi nilivaa kawaida tu

5. Ushawahi kuaibishwa mbele ya demu wako wewe???

Acha bana Nonda acha bana...inauma we acha tu...for the first time nilitoka kama naenda chooni kumbe naenda kujifuta machozi. Watu wote wanamcheka yeye yani...dah! acha tu... RRONDO herrera Belo everlenk cute b acheni kututania bana...ya juzi mi iliniuma! Mbona ya Man city sikuwaomba mnyamaze..hii tu potezeeni iishe!

6. Tulikuwa tumekubaliana weekend ijayo mimi nivae jezi yake ya Arsenal yeye avae yangu. Baada ya game ya juzi eti akakataa...eti hataki kuaibika tena....do you understand what am saying guys!???? tuacheni kwa hili..yani sina raha kabisa yani...!

Halafu unauliza kwa nini niliumia Nonda???!
Mentor
Nimecheka mpaka "nami nimejifuta machozi"

Chelsea si baba yangu wala mama yangu, wapigwe tu!

Msimu uliopita ninyi watu wa Ze Bluuzzi mlikuwa na midomo michafu na mireeefu sana.
Nakumbuka Kalou na madoido yake.
Ntunzu na mbwembwe zake.
Enzo alichonga sana na kauli tata zake.
Mashabiki wengine waliamua matusi kuwa sehemu ya michango yao.

Unaposikia mtu kama Mentor anasimulia "hadithi" tamu kama hii ya mwanzo wa msimu unaelewa kuwa heshima imeanza kurudi na wenye jukwaa wameanza kuchunga ndimi zao. Hili ni jambo zuri la kupongezwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom