Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Je umesha-google na kujionea menyewe kuwa Mou hana ujasiri wa kuifundisha timu kwa miaka 5, 6, 7, 8, 9?

Mou anapita njia tu, miaka 2, 3 anapotea.

Sasa akae ktk timu miaka 10 hiyo timu imekuwa baba yake au Mama yake? Ata Lowassa aliona aachana na ccm chama kilichomlea
 
SINA HAJA YA KUANGALIA mech mbovu ya chelsea leo maana matokeo nishayajua.. CHELSEA O MACCABI 6... aibu nyingne kwa mourinho.. leo mourinho na ivanovic(wowowo) wanapigwa red card...
 
SINA HAJA YA KUANGALIA mech mbovu ya chelsea leo maana matokeo nishayajua.. CHELSEA O MACCABI 6... aibu nyingne kwa mourinho.. leo mourinho na ivanovic(wowowo) wanapigwa red card...

Ilikua haina haja ya kutujulisha huo utumbo wako ungepita kimya tu na sindano zako za nyuki........
 
SINA HAJA YA KUANGALIA mech mbovu ya chelsea leo maana matokeo nishayajua.. CHELSEA O MACCABI 6... aibu nyingne kwa mourinho.. leo mourinho na ivanovic(wowowo) wanapigwa red card...

huo ni utumboless kwa mtu mzima kuongea hivyo,pita kule mkuu
 
SINA HAJA YA KUANGALIA mech mbovu ya chelsea leo maana matokeo nishayajua.. CHELSEA O MACCABI 6... aibu nyingne kwa mourinho.. leo mourinho na ivanovic(wowowo) wanapigwa red card...

hizo sita atapigwa mama yako!' ............
 
Dogo kuhusisha wazazi siyo poa muattack yeye as yeye sindano ya nyuki , you know what am a mother too.......

nimekuelewa mdada" na yeye alivyondika ivanovic wowo, dont forget ivanovic is a father too ............ by the way! siku mkienda EUROPA muwasalimie!'
 
watu mnavunja jungu😀😀😀

tulia hivyo hivyo usubiri macab wakitandikwa!' historia inajirudia timu pekee inayobakigi UEFA kutoka wingereza ............. manyua, man shity tayari wameshaonyesha njia kwa arse888!
 
Sasa akae ktk timu miaka 10 hiyo timu imekuwa baba yake au Mama yake? Ata Lowassa aliona aachana na ccm chama kilichomlea
Kwa hiyo, unakiri kuwa Mou ana mguu mmoja nje na mguu mmoja ndani? Hana uhakika na kibarua chake?
 
Ilikua haina haja ya kutujulisha huo utumbo wako ungepita kimya tu na sindano zako za nyuki........
Leo ni siku yako ya kufurahi, usiharibu furaha hiyo. Mmepewa maiti, muizike kwa heshima zote.
 
nimekuelewa mdada" na yeye alivyondika ivanovic wowo, dont forget ivanovic is a father too ............ by the way! siku mkienda EUROPA muwasalimie!'

Sikuiona ya kwake ningemwambia ,nimeona yako nimemwambia Europa waenda weye na wenzio....
 
Mpo au tuwasaidie kureport hata vibonde nao mwawaogopa ? Hongereni naona kitu kishasoma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom