Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

duh! yaan kelele zote hizo..mmechukua mbao..je mkibeba uefa c tutahama sayari..katika michezo 7 tuliyokutana ndiyo jana mmeuona mwez...duh!
 
Mchinje tu maana Hamna namna nyingine zaidi ya kumchinja tu.......

Ntuzu namchinja home and away safari hii

Ye mweeeeeeeeeeeeeeee.................

Imbombo jilipo! Na Malafyale kafufuka?:what:

Misimu miwili ya EPL tangu Jose Baba yangu mwana Wa Mourinho atue darajani na hakuna timu ata moja ktk hizi zinazo jiita top four iliyowahi kumfunga baba ktk EPL!

Wameokota hako ka community shield basi imekua duh!

Malafya yani km wewe LFC utashuka daraja msimu huu!
 
Last edited by a moderator:
Ye mweeeeeeeeeeeeeeee.................

Imbombo jilipo! Na Malafyale kafufuka?:what:

Misimu miwili ya EPL tangu Jose Baba yangu mwana Wa Mourinho atue darajani na hakuna timu ata moja ktk hizi zinazo jiita top four iliyowahi kumfunga baba ktk EPL!

Wameokota hako ka community shield basi imekua duh!

Malafya yani km wewe LFC utashuka daraja msimu huu!

Safari hii nakupiga na hata ww unayaogopa Majogoo
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1438599397616.jpg
    1438599397616.jpg
    39.1 KB · Views: 94
mummy cute b kwa heshima na taadhima na kwa mamlaka niliyopewa embu kusanya ulichonacho na tuondoke haraka, ndoa yangu na Ipo mashakani , naachwa mwenzako Mcharo kanuna huyo.....
 
Last edited by a moderator:
Safari hii nakupiga na hata ww unayaogopa Majogoo

Hahahaa nikianza kuja ktk Jukwaa lenu msinifukuze tu. Si unaona ligi ndio hiyo inaanza na tayari mimi Niko ndani ya Nyumba 24/7 full internet full network yani always nicheki notifications tu za Wapiga vigodori ktk thread ya mabingwa!
 

Attachments

  • 1438599478482.jpg
    1438599478482.jpg
    92.5 KB · Views: 106
mummy cute b kwa heshima na taadhima na kwa mamlaka niliyopewa embu kusanya ulichonacho na tuondoke haraka, ndoa yangu na Ipo mashakani , naachwa mwenzako Mcharo kanuna huyo.....

Hahahaaa usiachwe mamy ngoja nimesahau simu naichukua tunaondoka.
The bluuuuuuuuuzz
 
Last edited by a moderator:
Dahhh!!! Siku nyingi sana bro tangu tumekuwa mabingwa sikuona post zako washukuriwe San arsenal Leo wamekuleta maana ile pre season tulipopigwa na redbull hukuja, nachokupendea we huwa unaangalia wachezaji Wa Chelsea wakicheza foul tu. Karibu sn mkuu
Dugu, ile ni foul tu au mieleka?
 
Teh teh teh teh

Dooooooh wajameni. Imekua habari ya mujini! Maana naona Leo mpk Nonda kaja?!!!!!!!
Ulimwona Moureen alipendeza katika nyeupe baadae alibadili kuvaa blue baada ya kuambiwa hakupendeza.

Mou alifurahia sana ile mechi ya ya kirafiki ya ngao. Na alifurahia matokeo yake pia.
 
Ulimwona Moureen alipendeza katika nyeupe baadae alibadili kuvaa blue baada ya kuambiwa hakupendeza.

Mou alifurahia sana ile mechi ya ya kirafiki ya ngao. Na alifurahia matokeo yake pia.


Hahahahaaa

Ile ilikua game ya kirafiki tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom