Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
Dalili ya mvua ni mawingu mkuu
Ata Simba Mwenda pole........
Dalili ya mvua ni mawingu mkuu
#KTBFFH ...
Sometimes sielewi lengo la kocha kuchezesha baadhi ya watu..na sub anazofanya.
I still love Chelsea...and the title will still be ours come May.
Na majogoo wakiweza kumfanya Mou kama Man. City walivyoweza kuuchonga na kuuongeza urefu mdomo wa Mou- "a fake result" itakuwa poa.Dalili ya mvua ni mawingu mkuu
Mou amekinukisha, " a fake result".Kimenukaaaaaaaa............
Simba kwisha habari yake! Amegeuka paka, vatoto inachezea sharubu, paka nyau nyau.Ata Simba Mwenda pole........
Mou anamaanisha kuwa Man. City wamemtegeneza vibaya sana, kwenye kila idara.HAHAHAHAHA
ehe ana maana gani akisema results are fake
Na majogoo wakiweza kumfanya Mou kama Man. City walivyoweza kuuchonga na kuuongeza urefu mdomo wa Mou- "a fake result" itakuwa poa.
Lakini kwa yale majogoo ya Rogers hayaonekani kuweza kumudu Yokohama na mieleka ya "Mabingwa"
Ntuzu kimetokea nini mkuu? Kwa nini unamsubiri Nonda? Endelea tu na safari ya kuzimu!!!Asante sn mamito hapa namsubiri Nonda aje
Ndugu zetu wanaelewa, wanajua, wanatambua na wanafahamu kuwa haya matokeo ya 3 - 0 ni "a fake result".Jamani waoneeni huruma hawa ndg zetu.
Mnataka kuwawekea vigodoro tena???
Sio anadai, stats zinasema hivyo:Anadai Chelsea ndio walidominate the game hasa the second half Lakini Dominate game ndio magoli??
Mchile amemtahiri Mou bila ganzi!Hataki hata kumuangalia Pelegrini
Wewe kweli afya yako haina mgogoro.
Mou anasema "the results are fake!" Je dugu Ntuzu unaichukuliaje hii kauli ya mpayukaji?
Na pre-season inaisha lini? Chelsea waliichukulia hii mechi kama mechi ya kirafiki?
Au muziki ilikuwa ile muziki muneneee leo?
Huyu kipa wa leo huyu sijui kaokotwa wapi
Leo ni " A fake result". Kwa mantiki hiyo bado Chelsea ajawahi fungwa na big 5, wala small 5.Kuna mtu humu alijifanya ooh Mourinho ajawahi fungwa na big 5, Buahahahahahahaaaaaaaaaa aje na leo humu..
Mind the gap!Pakiti ya kondomu imeisha...
Tatuuuu
Leo ni " A fake result". Kwa mantiki hiyo bado Chelsea ajawahi fungwa na big 5, wala small 5.
Namchapa home and away,hata Ntuzu anayajua haya mbona