Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Chama linaniangusha leo. Atleast tutoe draw tukifungwa hii itakuwa mbaya sana japo ligi bado mbichi. Hizi big game hizi either tushinde au tudraw
Mashabiki Maandazi tumefungwa moja tu mmekimbia je tukipigwa kumi si mtahama timu. Njooni bana msikate tamaa tuna win hili game hata tukifungwa itakuwa ni somo la kujipanga next match
Asante. Mourinho anatafunwa na laana ya kumdhalilisha yule doctor
Hivi ni kwanini Diego Costa huwa anajifanya mbabe mbabe kama mtoto wa Manzese?