Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,543
- 35,402
Alikuwa ana piga kelele na refa tu badala afanye kazi yake
ngoja tuone atatoa kisingizio kipi leo
Alikuwa ana piga kelele na refa tu badala afanye kazi yake
Mwanamke nimeumbwa na moyo wa huruma Leo sitacheza kigodoro Bali nitaomboleza uwiiiiiii hiki si kichapo ni msiba jamani, owiiiiiiiiii poleni sana wandugu tuliwapenda sana mabingwa wetu lakini Man City wamewapenda zaidi,woiiiiiiiiiiiiiiiii pumzikeni kwa amani The bluuz........poleni sana wapenzi wangu Ntuzu kalou ENZO Mentor MEANDU Manumbu b5-click na #AllTheBlues
Mkifungwa mechi ijayo morinho anafukuzwa.
Thx Mkuu
Kigodoro kiwepo tu Mkuu Na Mimi nakihitaji
Kwa style hii nadhani route za kwenye jukwaa letu zitapungua .... Lakini msivunjike moyo ndiyo kwanza game ya 2
Wachezaji wanaonekana wamechoka sana tatizo la Jose kutofanya rotation (Ivanovic,JT, Cesc, Hazard,Azpi) wanahitaji back up,sijaona tofauti ya Rooney na Hazard then Jose anasema Hazard is better than Ronaldo.Begovic kawaokoa sana leo zingekuwa sita
Pakiti ya kondomu imeisha...
Tatuuuu
Jose Mourinho hawezi kufukuzwa km mnavyofikiria ndio kaongeza miaka mingine minne
Ktk Jukwaa lenu tangu msimu uliopita hatujapiga root huko kwahiyo ata msimu huu tunawachugulia tu Zaidi Na Zaidi nategemea wana lfc wengi kuja kwetu!
What!!!!!:what: game ya pili tu wachezaji wamechoka?
Mkuu makosa ya uwanjani ndio yamesababisha kupoteza mchezo lkn timu iko vzr sn Zaidi ya unavyoweza kufikiria
Last game Morinyo kagombana na Eva anasema Hazard alikuwa hajaumia alichoka,
Magoli mengi yanapitia kwa Ivanovic huyu ndio no 2 karibia misimu 5 unategemea kiwango kitakuwa sawa?
Leo mara ya kwanza Jose anamtoa Terry na hajaumia.
Mnahitaji msaidizi wa JT, Msaidizi wa Azpi, Msaidizi wa Ivanovic otherwise kazi mnayo